Fedhea

Huyu jamaa hamna kitu
 
Ahsante kwa maoni..

alafu nilisema haya ni maoni yangu.
na unacho kiongea wewe ni maoni yako tu.

Ila kiuhalisia mi mtata sana kwenye hizo mambo..

Wana uwa wa nakuja kunikodi kwenda kumaliza masoo yao yanayo hitaji suluhisho la ngumi.
 

Hivi hata kocha alikua nae huyu bwana selemani said?
 
Rekebisha title.
Ni fedheha!
 
Huo Mkoa wa Zenji wote mnakula urojo ulitegemea nini?
 
Hàmna huyu kaona nyi mnasubiri tu watu wafanye vizuri Mpewe sifa. Kaona bora afelishe. Mkose cha kujisifu kudadadeki.
 
Mchezo wa masumbwi wakijinga sana,sasa mtu umetoa pesa zako za kiingilio halafu boya kama huyo anapigwa ndani ya dakika 2:23.
Pesa imeenda bure.
 
Nimepoteza muda tu kukosa makala yako
1 kwanza hujui chochote kuhusu ngumi.
2 Kwenye ngumi hatuangalii umri tunaangalia weight.
3 Bondia kupigwa round 1 sio tatizo ni kawaida kwenye huu mchezo nasio mchezo huu tu hata mpila watu wanafungwa goli hata dk 1 bado.
4 wote huyu bondia tulikuwa hatumjui lakini mpaka kufikia pale kupambana au kupewa pambano la utangulizi katika pambano kubwa kama lile la Dunia sio ishundogo.
5 vp kama angeshinda bwana sele pambano leo ungeongea shit zako hapa kama ulivyofanya?.
 
Mtoa mada post yako ina kila dalili za udini !!!
 
Hàmna huyu kaona nyi mnasubiri tu watu wafanye vizuri Mpewe sifa. Kaona bora afelishe. Mkose cha kujisifu kudadadeki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..
mkuu umewaza tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…