Fedhea

Fedhea

Mchezo wa masumbwi wakijinga sana,sasa mtu umetoa pesa zako za kiingilio halafu boya kama huyo anapigwa ndani ya dakika 2:23.
Pesa imeenda bure.
Ndo maaana mimi uwa ninauangilia kupitia Mb za buku tu
 
Nimepoteza muda tu kukosa makala yako
1 kwanza hujui chochote kuhusu ngumi.
2 Kwenye ngumi hatuangalii umri tunaangalia weight.
3 Bondia kupigwa round 1 sio tatizo ni kawaida kwenye huu mchezo nasio mchezo huu tu hata mpila watu wanafungwa goli hata dk 1 bado.
4 wote huyu bondia tulikuwa hatumjui lakini mpaka kufikia pale kupambana au kupewa pambano la utangulizi katika pambano kubwa kama lile la Dunia sio ishundogo.
5 vp kama angeshinda bwana sele pambano leo ungeongea shit zako hapa kama ulivyofanya?.
hata kama sijui ila naweza pinga kitu kwa logic..
huyu bondia nae ni wa jalalani tu kama yule Pro wa hamnazo.
 
Mkuu hakuna bondia hapo kama kweli wewe ni mpenzi wa boxing na unafatilia huo mchezo kuna technical failures utaziona kwa huyo jamaa angalia anavyo guard anavyo attack hata commenter umemsikia alicho sema?
Nimepoteza muda tu kukosa makala yako
1 kwanza hujui chochote kuhusu ngumi.
2 Kwenye ngumi hatuangalii umri tunaangalia weight.
3 Bondia kupigwa round 1 sio tatizo ni kawaida kwenye huu mchezo nasio mchezo huu tu hata mpila watu wanafungwa goli hata dk 1 bado.
4 wote huyu bondia tulikuwa hatumjui lakini mpaka kufikia pale kupambana au kupewa pambano la utangulizi katika pambano kubwa kama lile la Dunia sio ishundogo.
5 vp kama angeshinda bwana sele pambano leo ungeongea shit zako hapa kama ulivyofanya?.
 
Hapa unamaanisha ALAMA YA MSALABA NDIYO SIRI YA USHINDI dhidi ya alama ya nyota na mwezi.
Yule bondia wa Bongo aliyepigwa ngumi moja hadi kuletewa mitungi ya oxygen atutake radhi wa watanzania na Umma wa kiislam kwa ujumla.
serikali imnyang'nye Hati yake ya kusafiria pamoja na adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.

na promota wake anyang'nywe leseni yake..
kipigo hicho ni fedhea kubwa sana.

Yule dogo(mpigaji) ana miaka 19 na Huyu mpigwaji ana miaka 33 kwa kipigo kile ni aibu na fedhea kubwa sana.

kwanza dogo alipiga alama ya msalaba kabla ya gemu kitu ambacho ni kufuru kabisa. ishara hiyo ndani ya viunga vya Maka na madina ni kufuru kubwa...


haya ni maoni yangu.
ninao uhuru wa kuongea kwa mjibu wa katiba.

***Pusha ni ongeza stik moja niende*.
 
Back
Top Bottom