Feedback: Natafuta mchumba

Gentleman kisa kukaa ulaya?
We Dada una ushamba Fulani hv
 
Umetumia vigezo gani kupima hiyo seriousness. Usije kuwa kama jamaa yangu aliyetembea na jini na sasa ni marehemu tangy Sikh hyo. Any way maisha mema
 
Ajotokeze bhas mwingne nasi tumalize mchezo hamsikii wivu wadada
 
Hehehehe wanasema ukiwa muongo uwe na kumbukumbi
 
Mkuu nimekukubali sana kwa post yako.

Miaka 32+ cyo umri wa kuhangaika na wachumba.
Bali ni umri ambao mwanamke anapaswa kuwa na familia iliyokamili.(mume+watoto).
 
I see!!
 
Hili ni tatzo la kuwa limbukenii.....yaan hujielewi kabisa ww
 
Mara nyingi nimekuwa nikiamini,na sitaki mtu anibadilishe ninachoamini..MTU yeyote anayesaka mpenzi kwenye mitandao kama ni jinsia ya kiume basi ni DOMO ZITO na kama ni Wa kike basi muonekano wake ni Wa aina yake..maana hadi uanze kuwasaka mtandaoni inamaana hawaji kabisa..
 
Pole sana kwa imani hiyo. .....kama bado unaamini eti mwanamke kuolewa hadi awe mrembo basi bado sana hujagundua .Angalia idadi ya wanawake wazuri walioopo mtaani ambao wako desperate kutafuta waume
 
Mkuu nimekukubali sana kwa post yako.

Miaka 32+ cyo umri wa kuhangaika na wachumba.
Bali ni umri ambao mwanamke anapaswa kuwa na familia iliyokamili.(mume+watoto).
Ha ha ha ha ha ndo maana nikasema wabongo tuna lack exposure
 
UNAWEZA UKAONA UMEPATA KUMBE NDIO UMEKOSA...NA UNAWEZA UKAONA UMEKOSA KUMBE NDIO UMEPATA......

USIONE UKAZANI.......MOYO WA MTU NI KICHAKA.......LA MTU ANALIJUA MTU......

AKILI NI NYWELE NA KILA MTU NA ZA KWAKE.....
 
Umenena
 
Ila mie sijapata hebu nipasie mmoja hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…