Feedback ya mpenzi wangu Kwa kuto pokea simu Jana siku ya wapenda nao

Feedback ya mpenzi wangu Kwa kuto pokea simu Jana siku ya wapenda nao

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Huyu mchumba siishi nae , kila mtu anaishi kwake, ila almost Huwa anakuja kwangu na anakaa Kwa muda wa hata week 2 ..

Ok .. Jana nilijitahidi sana kumpgia simu mida ya asubuhi Ili tujue ratiba itaishaje like kutoka out , and other stuffs Kwa siku ya valentine's, simu haikupokelewa , piga sana simu inaita tu , bila mafanikio.

Kapokea Leo asubuhi,, aseee eti ananiambia alikuwa kwenye msiba huko chanika , kwahyo simu aliisahau ndani , aligundua kasahau simu baada ya kufika msibani.

Nimeshangaa sana amenipa jibu jepesi sana, alafu anajibu Kwa shortcut sana ..

Yani sielewi ,
 
Huyu mchumba siishi nae , kila mtu anaishi kwake, ila almost Huwa anakuja kwangu na anakaa Kwa muda wa hata week 2 ..

Ok .. Jana nilijitahidi sana kumpgia simu mida ya asubuhi Ili tujue ratiba itaishaje like kutoka out , and other stuffs Kwa siku ya valentine's, simu haikupokelewa , piga sana simu inaita tu , bila mafanikio.

Kapokea Leo asubuhi,, aseee eti ananiambia alikuwa kwenye msiba huko chanika , kwahyo simu aliisahau ndani , aligundua kasahau simu baada ya kufika msibani.

Nimeshangaa sana amenipa jibu jepesi sana, alafu anajibu Kwa shortcut sana ..

Yani sielewi ,
Ushapigwa ww.....sanuka
 
Ukiwa kwenye mahusiano, jitahidi kuwa positive, ndio utajua ukweli.
Ungeanza kwanza kutafuta kujua kama ni kweli alifiwa na alifiwa na nani/ukaribu wake na yeye? Unaujua msiba wewe au unasikia tu kwa watu!
Lakini pia, kila kitu ukichukulia NEGATIVE hautaweza kuisha na hao viumbe; Biblia ilisha tuonya, tuishi nao kwa akili
 
Huyo mwongo huyo simu aliisikia vizuri kabisa wala haikuwa mbali kama anavyotaka kukuaminisha
IMG_20250215_134902.jpg
 
Mapenzi kilio nenda waulize wenzio ni mdudu wa sikio akikung’ata husikii la yeyote

Huyo mdudu keshakung'ata
 
Huyu mchumba siishi nae , kila mtu anaishi kwake, ila almost Huwa anakuja kwangu na anakaa Kwa muda wa hata week 2 ..

Ok .. Jana nilijitahidi sana kumpgia simu mida ya asubuhi Ili tujue ratiba itaishaje like kutoka out , and other stuffs Kwa siku ya valentine's, simu haikupokelewa , piga sana simu inaita tu , bila mafanikio.

Kapokea Leo asubuhi,, aseee eti ananiambia alikuwa kwenye msiba huko chanika , kwahyo simu aliisahau ndani , aligundua kasahau simu baada ya kufika msibani.

Nimeshangaa sana amenipa jibu jepesi sana, alafu anajibu Kwa shortcut sana ..

Yani sielewi ,
Mtoe kwenye mipango, Anza kupiga Mashine tu, Hela akiomba, mpe Hela nusu ya aloomba na shariti la kumpa ni akuletee K .

Akiringa, Piga chini
 
Ukiwa kwenye mahusiano, jitahidi kuwa positive, ndio utajua ukweli.
Ungeanza kwanza kutafuta kujua kama ni kweli alifiwa na alifiwa na nani/ukaribu wake na yeye? Unaujua msiba wewe au unasikia tu kwa watu!
Lakini pia, kila kitu ukichukulia NEGATIVE hautaweza kuisha na hao viumbe; Biblia ilisha tuonya, tuishi nao kwa akili
Huo ni upotezaji wa Muda, infact wanaume wajinga ndio Huwa mnafanya hayo mkijihisi ni Ugud guy huooo


The moreee unavyotafuta kujua habari za mwanamke , ndivo utakavyozidi kuumia.


HUYO JANA KATOMBWAA THE WHOLE DAY.
 
Back
Top Bottom