Askari_Mwana
Member
- Jun 21, 2022
- 28
- 81
Kibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi YangaSasa mabeki wa pembeni ni kina nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi YangaSasa mabeki wa pembeni ni kina nani?
Hawajaitwa?Kibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi Yanga
Afadhali hata ya Kibeana, huyo Baca ndio mtu wa benchi alafu ameitwa timu ya TaifaKibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi Yanga
Tangu waanze kuchezea Taifa star wameisaidia nnKichwa cha mwendawazimu. Kapombe na shabalala bado wana mchango mkubwa sana taifa stars.
Unamwita kayumba hana hata team kwasasa?Kocha hajielewi
Huo upendo kwa Fei umetoka wapiNimefurahi Fei kuitwa..atleast afanye fanye kazi
Kabisa mbegu na Luhende hapa nawapa hongeraHuyo kocha kapangiwa tu wachezaji,kawaona saa ngapi??ila kwa mbegu waliompangia wamepatia acha ampumzishe zimbwe kidogo
Long tym wachezaji wa Yanga naemkubali...mbona liko wazi humuHuo upendo kwa Fei umetoka wapi
una angaliaga mpira weweKibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi Yanga
Taifa stars mkuu ni mzigo wa miba....haubebeki wala kusaidika.Tangu waanze kuchezea Taifa star wameisaidia nn
kwani wewe ulimuona wapi?kocha mpya alimuona wapi akicheza
N jambo jemaView attachment 2549109
Picha: Fesal Salum 'Fei Toto'
Kocha wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Adel Amrouche amemuita kikosini kiungo Feisal Salum katika michezo miwili ya kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda.
View attachment 2549119
Picha: Majina ya kikosi kilichoitwa
Katika kikosi hicho cha wachezaji 31 kocha Amrouche amewaacha mabeki wa pembeni wa Simba, Mohamed Husseini na Shomari Kapombe.
Alimuona siku ile kwenye mechi ya NUSU fainali kule CCM Kirumba.kocha mpya alimuona wapi akicheza
kocha nilimkuta youtube anamfatilia feiHuyo kocha kapangiwa tu wachezaji,kawaona saa ngapi??ila kwa mbegu waliompangia wamepatia acha ampumzishe zimbwe kidogo
nitakuwepo mimi.usihofu.Sasa mabeki wa pembeni ni kina nani?