Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Haya tunawatakia herinitakuwepo mimi.usihofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tunawatakia herinitakuwepo mimi.usihofu.
nikifunga magoli mengi mrembo utanipa Nini?Haya tunawatakia heri
Utalipwa na mama Samianikifunga magoli mengi mrembo utanipa Nini?
no.nataka uniahidi wewe kitu kizuri.Utalipwa na mama Samia
Nitakupikia mahindi ya kuchemsha na uji wa ulezi maana ndo nimevuna kwa sasa nikuletee uwanjani...no.nataka uniahidi wewe kitu kizuri.
waoooooo namimi nitakuandalia zawadi nzuri mno ukija.Nitakupikia mahindi ya kuchemsha na uji wa ulezi maana ndo nimevuna kwa sasa nikuletee uwanjani...
ungejuwa uyo unaechati naye ni mwanaume usingesema ivo 🤣🤣🤣waoooooo namimi nitakuandalia zawadi nzuri mno ukija.
Kocha aliadithiwa na hakina Msomali!kocha mpya alimuona wapi akicheza
Kocha hajielewi
Hata kama wewe ndio kocha kwa mishuti ile aliyokuwa akiwapopoa makipa ungemuacha?Kocha kamjulia Lin huyo kaletewa
Kaambiwa wataje hawa
Kakolanya alimuona wapi?????kocha mpya alimuona wapi akicheza
☹️mkuu acha kunitisha bwana?ungejuwa uyo unaechati naye ni mwanaume usingesema ivo 🤣🤣🤣
Fitness je?Uwezo ndio unaomfanya mtu aitwe.
Ndiyo atakuwa fit kwasababu anafanya mazoezi.Fitness je?
Mchezaji ambaye hajachezea klabu ya kwa miezi atakuwa fit kuchezea Taifa?!
Mazoezi ya kawaida na kucheza mechi za ushindani ni tofauti kabisa mkuu...!Ndiyo atakuwa fit kwasababu anafanya mazoezi.
Kwamba Kibwana na Baka Sio wachezaj ni vipande vya Mihogo 😁😁😁Sasa mabeki wa pembeni ni kina nani?