Fei Toto aitwa Taifa Stars katika kikosi cha wachezaji 31

Huyo kocha kapangiwa tu wachezaji,kawaona saa ngapi??ila kwa mbegu waliompangia wamepatia acha ampumzishe zimbwe kidogo
 
Ila kapombe sio wa kuachwa hata Shabalala
Hapo kocha kachemka anyway ngoja tuone inaendaje maana timu yenyewe ni tia maji tia maji
 
Kibwana Shomari na Ibrahim Baka, wote naona wanakula bechi Yanga
una angaliaga mpira wewe
baka,kibwana hawali benchi
sema wanaingia tokea benchi

huyo benno kacheza mechi gani hadi kaonwa
 
Mabeki wa pembeni kajichanganya kwa physic ya kapombe na kibwana ni vitu viwili tofauti.

Pia uzoefu wa Simba na Vipers(Uganda)

Ngoja tuone, Sababu kocha mwenyewe hana mafanikio sana.
 
N jambo jema
 
kocha mpya alimuona wapi akicheza
Alimuona siku ile kwenye mechi ya NUSU fainali kule CCM Kirumba.
Alivutiwa na ule mshuti na jinsi Kalokonya alivyo uokoa. Ndio maana wote wawili amewaita kwenye timu ya taifa.
 
Huo uwezo wa fei kocha kauona wapi au youtube?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…