Tetesi: Fei Toto aweka Masharti magumu kwa Azam, anataka Tsh Milioni 70 kila Mwezi ili asaini Mkataba Mpya

Tetesi: Fei Toto aweka Masharti magumu kwa Azam, anataka Tsh Milioni 70 kila Mwezi ili asaini Mkataba Mpya

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Fei Toto, mchezaji maarufu wa Azam na Taifa Stars, amewaambia baadhi ya viongozi wa klabu hiyo kwamba atasaini mkataba mpya endapo wataweza kumlipa Tsh 70 milioni kwa mwezi. Hata hivyo, kiasi hicho kinaonekana kuwa kigumu kwa klabu ya Azam.
1726731147606.png
Iwapo klabu hiyo itakubali kulipa kiasi hicho, Feisal Salum atakuwa mchezaji anayelipwa kiasi kikubwa zaidi katika ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Screenshot 2024-09-19 102621.png
Pia, soma:
==> Biashara ya Fei Toto na Azam ilikuwa kete ngumu kwa Yanga
==> Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
==> Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
==> Azam FC yamtambulisha FEI TOTO, asaini mkataba wa miaka mitatu, afafanua fedha alizochangiwa na wadau
 
Watetezi wake mko wapi mlibebe na hili?

Kashindwa kuisaidia timu kuvuka hatua ya kwanza tu ya mtoano ligi ya mabingwa lakini ameshaanza usumbufu wa mshahara.
Kwan anacheza peke yake... hilo haliondoi thamani yake. Pale man u kuna wachezaji wanalipwa pesa ndefu sana na timu haipo kwenye michuano yoyote ile ya kimataifa. Kama ni kweli ni halali yake. Wachezaji wanarisky kubwa sana. Leo anathamani hii, kesho anaporomoka hadi Chini.
 
Kwan anacheza peke yake... hilo haliondoi thamani yake. Pale man u kuna wachezaji wanalipwa pesa ndefu sana na timu haipo kwenye michuano yoyote ile ya kimataifa. Kama ni kweli ni halali yake. Wachezaji wanarisky kubwa sana. Leo anathamani hii, kesho anaporomoka hadi Chini.
Kwani mimi sijui kwamba hachezi peke yake? Ongezeko la mshahara linatakiwa liendane na mchango wako katika taasisi, work done zero kelele kibao.
 
Back
Top Bottom