Fei Toto to Azam deal done? Shaffih Dauda kaandika RASMI dili limekamilika

Fei Toto to Azam deal done? Shaffih Dauda kaandika RASMI dili limekamilika

Naona sawa tu, acha mtoto wa watu avune pesa. Ila kimpira atakuwa kama Bocco tu, alivyokuwa Azam. Kiwango kitashuka, akimaliza huo mkataba ataenda kwa mikia ama kurudi tena Yanga shuguli itakuwa ishaisha tena... niko hapa nasubiria X mas 🌲
 
Kama kaenda Azam FC ni sawa football ni maisha amecheza Yanga kwa mapenzi yake yote alichokifanya kinatosha aliondoka Hazard Chelsea, Ronaldo Manchester United, Lewandosky Dortmund and life goes on sina kinyongo namtakia maisha mema kazi iendelee
 
Ilianza km utani utani vile na sasa ni dhahili.Azam wakiamua hakuna wa kuwazuia si Simba wala Yanga. Waliwahi fanya hivyo kwa Ngasa na sasa wamefanya kwa Fei.

Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga ila nampongeza sana Fei kwa maamuzi aliyochukua. Nasikia Azam watampa mshahara mara 3 ya ule aliokuwa anapata Yanga. Maana yake atapata zaidi ya mil.15.Na hii iwe fundisho kwa viongozi wa Simba na Yanga kuacha kuwadharau wachezaji wa ndani. Inakuaje mchezaji km Fei unamlipa Mil.5 wakati akina Aziz Ki wanachukua dola elfu 8?

Mchezaji akiomba kuongezewa pesa anapewa majibu ya ovyo. Haiwezekani wachezaji wa kigeni wenye viwango vya kawaida kulipwa mamilioni ya pesa (15-20) aafu wachezaji wetu wa ndani wenye uwezo zaidi ya hao tena wafia timu wakilipwa milion(5 -7). Hebu angalia kwa mfano pale Simba wachezaji km Kapombe, Zimbwe jr,Mzamiru si ajabu kukuta wanazidiwa mbali sana na akina Onyango,Okwa,na Okra.

Tabia ya kudharau wachezaji wetu wa ndani imehamia hadi kwetu mashabiki. Yaani akikosea Morrison,au Mayele ni sawa,no one cares. Ila akikosea Kibu Denis au Mkude mashabiki watatukana mpaka Saikolojia ya mchezaji inaathirika. Tunadharau sana vyakwetu sijui na katuroga!

Asante sana Fei kwa maamuzi yako hakika utawaamsha wenzako waliolala kwenye usingizi wa fofofo wakimezwa na sifa za Simba na Yanga. Samata alikimbia utumwa wa Simba na Yanga na sasa ni tajiri, muhimu ni unga wa familia yako. All the best wish to see you in mwananchi jersey one day.[emoji122][emoji122][emoji122]
Feisal alikuwa anastahili kuchukua pesa ndefu sawa na Mayele lakini usikute alikiwa anazidiwa hadi na Lomalisa

Halafu walivyo wajinga nasikia walipanga kuhamasisha mgomo kwa mashabiki kususia bidhaa za Azam endapo Azam itamnunua Feisal

Kama unaona una mchezaji ambaye anathamani kwako basi mpe stahiki zile ambazo zinaendana na kile anacho ku offer uwanjani na sio ule ushabiki wa kusifiana tu "Feidinho mzee wa no look pass" wakati mfukoni hali tete
 
Kama kaenda Azam FC ni sawa football ni maisha amecheza Yanga kwa mapenzi yake yote alichokifanya kinatosha aliondoka Hazard Chelsea, Ronaldo Manchester United, Lewandosky Dortmund and life goes on sina kinyongo namtakia maisha mema kazi iendelee
Yanga wamefanya makosa kumuacha aende kwa kutokubali kumuongezea pesa yake

Value ya Feisal pale Yanga ni kubwa sana lakini kitendo cha kutompambania kumuongezea mshahara wake ni kosa ambalo mtakuja kujirekebisha kwa wachezaji wengine
 
Naona sawa tu, acha mtoto wa watu avune pesa. Ila kimpira atakuwa kama Bocco tu, alivyokuwa Azam. Kiwango kitashuka, akimaliza huo mkataba ataenda kwa mikia ama kurudi tena Yanga shuguli itakuwa ishaisha tena... niko hapa nasubiria X mas 🌲
Unakubali huku unaumia na kumtakia mabaya. Roho za kimasikini tooooka moyoni kwa huyu dada
 
Unakubali huku unaumia na kumtakia mabaya. Roho za kimasikini tooooka moyoni kwa huyu dada
Nikupe pole, sijawahi kuwa na roho ya kimasikini na sitakuwa nayo kamwe.
Tatizo la mikia hamsomi mkaelewa, nimesema kabisa mwacheni akavune pesa, sasa hapa roho ya kimasikini imetokea wapi?
Kiwango cha mpira lazima kishuke, kwanini tuongee? Tuombe uzima baada ya miaka 3 je atakuwa huyu aliyekuwa Yanga?
Wenye roho za kitajiri, changieni mpate basi. Ile daladala inawaumiza wachezaji Dar to Kaitaba Kagera walifika wako hoiiii
 
Nikupe pole, sijawahi kuwa na roho ya kimasikini na sitakuwa nayo kamwe.
Tatizo la mikia hamsomi mkaelewa, nimesema kabisa mwacheni akavune pesa, sasa hapa roho ya kimasikini imetokea wapi?
Kiwango cha mpira lazima kishuke, kwanini tuongee? Tuombe uzima baada ya miaka 3 je atakuwa huyu aliyekuwa Yanga?
Wenye roho za kitajiri, changieni mpate basi. Ile daladala inawaumiza wachezaji Dar to Kaitaba Kagera walifika wako hoiiii
Kwa nini unamtakia kiwango kishuke. Acha chuki
 
Naona sawa tu, acha mtoto wa watu avune pesa. Ila kimpira atakuwa kama Bocco tu, alivyokuwa Azam. Kiwango kitashuka, akimaliza huo mkataba ataenda kwa mikia ama kurudi tena Yanga shuguli itakuwa ishaisha tena... niko hapa nasubiria X mas [emoji268]
Ila ndani ya hiyo miaka 3 anakuwa na uhakika wa kupata 300,000,000

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini unamtakia kiwango kisheke. Acha chuki
Ndiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.
 
Ila ndani ya hiyo miaka 3 anakuwa na uhakika wa kupata 300,000,000

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sikatai ndiyo nimesema tuache akavune pesa. Wachezaji wetu wa kibongo tunawajua au wasanii wetu, kwenye swala la pesa huwa wanatumia na zinaisha hata mtu huelewi ilikuaje. Idris alipata zaidi ya hizo tena kwa mkupuo, achana na huyu kwa miaka 3.

Alipokuwa Yanga tu scandal za wadada sijui huyu kampa mimba hamtaki, huyu vile pesa zao zinaishia kwa starehe. All in all kama ni kweli tunamtakia BARAKA tele, bado mdogo ana kitu mbele yake.
 
Ila ndani ya hiyo miaka 3 anakuwa na uhakika wa kupata 300,000,000

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sikatai ndiyo nimesema tuache akavune pesa. Wachezaji wetu wa kibongo tunawajua au wasanii wetu, kwenye swala la pesa huwa wanatumia na zinaisha hata mtu huelewi ilikuaje. Idris alipata zaidi ya hizo tena kwa mkupuo, achana na huyu kwa miaka 3.

Alipokuwa Yanga tu scandal za wadada sijui huyu kampa mimba hamtaki, huyu vile pesa zao zinaishia kwa starehe. All in all kama ni kweli tunamtakia BARAKA tele, bado mdogo ana kitu mbele yake.
 
Angalia maisha yako sio unazi. Haiwezekani kuna wachezaji wanatoka nje wanalipwa vizuri halafu wanakaa bench. Wewe unajituma unapewa pesa ya mboga. Sepa dogo
Lini uliwahi kuona mshahara wa mchezaji yeyote nchi hii? Nyie ndio mnadanganyana kuwa CHAMA analipwa mili 15 per month
 
Ilianza km utani utani vile na sasa ni dhahili.Azam wakiamua hakuna wa kuwazuia si Simba wala Yanga. Waliwahi fanya hivyo kwa Ngasa na sasa wamefanya kwa Fei.

Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga ila nampongeza sana Fei kwa maamuzi aliyochukua. Nasikia Azam watampa mshahara mara 3 ya ule aliokuwa anapata Yanga. Maana yake atapata zaidi ya mil.15.Na hii iwe fundisho kwa viongozi wa Simba na Yanga kuacha kuwadharau wachezaji wa ndani. Inakuaje mchezaji km Fei unamlipa Mil.5 wakati akina Aziz Ki wanachukua dola elfu 8?

Mchezaji akiomba kuongezewa pesa anapewa majibu ya ovyo. Haiwezekani wachezaji wa kigeni wenye viwango vya kawaida kulipwa mamilioni ya pesa (15-20) aafu wachezaji wetu wa ndani wenye uwezo zaidi ya hao tena wafia timu wakilipwa milion(5 -7). Hebu angalia kwa mfano pale Simba wachezaji km Kapombe, Zimbwe jr,Mzamiru si ajabu kukuta wanazidiwa mbali sana na akina Onyango,Okwa,na Okra.

Tabia ya kudharau wachezaji wetu wa ndani imehamia hadi kwetu mashabiki. Yaani akikosea Morrison,au Mayele ni sawa,no one cares. Ila akikosea Kibu Denis au Mkude mashabiki watatukana mpaka Saikolojia ya mchezaji inaathirika. Tunadharau sana vyakwetu sijui na katuroga!

Asante sana Fei kwa maamuzi yako hakika utawaamsha wenzako waliolala kwenye usingizi wa fofofo wakimezwa na sifa za Simba na Yanga. Samata alikimbia utumwa wa Simba na Yanga na sasa ni tajiri, muhimu ni unga wa familia yako. All the best wish to see you in mwananchi jersey one day.[emoji122][emoji122][emoji122]
Unalaumu bure viongozi wachezaji wore hao Wana watu wao wanaosimamia mikataba tofauti ya wageni na wazawa wageni Wana mameneja wanaojua kazi yao
 
Ndiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.
Kweli nyinyi utopolo ni MBWA sasa BOCCO alienda Azam akitokea timu gani?
 
Ndiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.
Inaonekana Yanga mwenzangu mpira huufahamu. Unashabikia tu. Haya tuambie. Bocco alienda Azam akitokea wapi na kiwango chake kikashuka?😂
 
Back
Top Bottom