Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kama Yanga umewalipa chao na wamekomaa hawataki uondoke, nakushauri Azam hawataweza kupambana na Yanga, watanywea, tangaza unakwenda Simba kesho asubuhi, utaona mwenyewe, nakuhakikisha gemu na KMC utacheza pale juu na Chama, Ntibazonkiza,Sakho nk.
Simba michezo hiyo wanaijua sana, michezo hiyo kule Simba ni ya kitoto kabisa, utacheza na wao watabakia kulaumu tu, wakiendelea kulia lia wanakula faini wewe maisha yanaendelea, kacheze Simba dogo kwa masharti hayo hayo ya Azam, safi sana.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Simba michezo hiyo wanaijua sana, michezo hiyo kule Simba ni ya kitoto kabisa, utacheza na wao watabakia kulaumu tu, wakiendelea kulia lia wanakula faini wewe maisha yanaendelea, kacheze Simba dogo kwa masharti hayo hayo ya Azam, safi sana.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app