Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Tangazo la Yanga la March 6 ambalo lilikuwa very clear katika option ambazo tumetoa, tumesema kama Feisal anataka kuondoka aje Yanga aondoke kama Kuna klabu inamuhitaji aje klabuni tumpe mkono wa kwa heri.
“Hizi option zote anazozitafuta hapa tunashangaa kwanini yupo hapa, sisi sio kwamba tunamng’ang’ania Feisal mpaka ionekane tunamnyanyasa, hata leo akija klabuni pale akasema anataka kuondoka tunakaa nae mezani tunaachana nae.
“Ni kutunisha tu mabega yake Hakuna ugumu wowote kama angetaka kusave carrier yake sisi hatujamfanya kitu chochote, Feisal hajafukuzwa na Yanga yeye mwenyewe kaamua kufanya utoro kwa kuondoka kambini, hawezi kuwa mkubwa kuliko klabu na hatokaa awe mkubwa zaidi, Yanga ilikuwepo kabla hajazaliwa na itakuwepo hata asipokuwepo tena,” Mwanasheria wa Yanga Sc, Simon Patrick
“Hizi option zote anazozitafuta hapa tunashangaa kwanini yupo hapa, sisi sio kwamba tunamng’ang’ania Feisal mpaka ionekane tunamnyanyasa, hata leo akija klabuni pale akasema anataka kuondoka tunakaa nae mezani tunaachana nae.
“Ni kutunisha tu mabega yake Hakuna ugumu wowote kama angetaka kusave carrier yake sisi hatujamfanya kitu chochote, Feisal hajafukuzwa na Yanga yeye mwenyewe kaamua kufanya utoro kwa kuondoka kambini, hawezi kuwa mkubwa kuliko klabu na hatokaa awe mkubwa zaidi, Yanga ilikuwepo kabla hajazaliwa na itakuwepo hata asipokuwepo tena,” Mwanasheria wa Yanga Sc, Simon Patrick