Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ndo maana tunashauri kwa sasa msiwe mnatolewa vichogo ina athiri ubongoWakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Kuna watu wengine wagumu kuelewa.Hii ya mkutane mjadili ndio muvunje mkataba ni mutual agreement hiyo lakini kuna nyingine upande mmoja tu unaweza vunja pawepo na sababu au kusiwepo na sababu na kama hamna sababu fidia na adhabu zinahusika
Hiyo niliyosema ni ya FIFA ndugu una lingine?Kuna watu wengine wagumu kuelewa.
Umeshaambiwa kuna Sheria za nchi, za kazi na FIFA.
Hapa zina apply za FIFA na nchi inapokataa kutii Sheria za FIFA husimamishwa uanachama ikiendelea kukaidi inafutiwa kabisa.
Hizo za fifa kuna termination without just cause kasomeKuna watu wengine wagumu kuelewa.
Umeshaambiwa kuna Sheria za nchi, za kazi na FIFA.
Hapa zina apply za FIFA na nchi inapokataa kutii Sheria za FIFA husimamishwa uanachama ikiendelea kukaidi inafutiwa kabisa.
Nimewawekea hadi quote ya kifungu lakini kwasababu washatanguliza denial huwezi uka argue nao kwa hoja wakakuelewaHizo za fifa kuna termination without just cause kasome
Sasa mnasubiri nini kumsaidia Feisal kwenda CAS?Nimewawekea hadi quote ya kifungu lakini kwasababu washatanguliza denial huwezi uka argue nao kwa hoja wakakuelewa
Nitajie vifungu niende direct, wakati ni Mali.Hizo za fifa kuna termination without just cause kasome
Tatizo wameweka ushabiki na hisia mbeleNimewawekea hadi quote ya kifungu lakini kwasababu washatanguliza denial huwezi uka argue nao kwa hoja wakakuelewa
Wapi alipong'ang'ania kuhukumiwa na sheria za nchi ?Nitajie vifungu niende direct, wakati ni Mali.
Inashangaza kidogo, viwepo vifungu vinavyomfeva asiende FIFA/CAS ang'ang'anie kwenye kuhukumiwa na sheria za nchi.
Hujaona au kusikia?Wapi alipong'ang'ania kuhukumiwa na sheria za nchi ?
We unavyojua alipeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba,kukataa kurejea kambini au kuaga?Kama barua mbona alishapeleka hii nchi duhh!!!
Rudi #4 nimeelezea vyemaHujaona au kusikia?
Kinachowafanya kuendelea kudanga TFF nini wasiende FIFA.
Ndiyo taabu ya kusoma sheria uzeeni!Kisheria hakuna mkataba usiovunjika nashindwa kuelewa wanasheria wa yanga walisoma vyuo gani. Mkataba usiokuwa na option ya termination ni mkataba batili.
Ukishaishiwa hoja laxima ukimbilie comment ya aina hiyo uliyoitoa.
Ngoja nikusaidie, kama nitaweza lakini. Ni hivi, ingetokea Yanga hawamlipi Feisal stahiki zake kwa mujibu wa mkataba au wangekua wameukiuka mkataba wao hapo sawa, huo mkataba ungevunjika. Feisal kashindwa kuthibitisha kuwa Yanga wamekiuka makubaliano, unataka nini kingine?
Mkataba hauvunjika kwa sababu eti siku hiyo umeamka unajisikia kuvunja mkataba.
Mchezaji wa mpira ni kama bidhaa inauzwa na kununuliwa. Timu ikisha nunua mchezaji ni mali yake kama lilivyo shati lako. Tofauti tu ni mali ya timu kwa muda maalum baada ya muda huo mchezaji yuko huru kujiuza mwenyewe.Tatizo mnatanguliza ushabiki na hisia, hakuna mkataba usio vunjika
Mchezaji ni kama changudoa mwenye pesa ndefu anachukua na wewe unabaki kukodoa macho.Yanga mbona hamsemi
Mlimfanya nini Fei hadi hawataki namna hii?
Wengi wanamuangalia fei lakini mimi naiangalia Yanga.
Mfanyakazi wenu fei hawezi from no where aichukie Yanga kiasi hiki wakati alikataa kuja Simba kwa kuipenda Yanga.
Pili kama mchezaji amewachukia kiasi hiki mwacheni aende na mtozeni faini zilizo kwenye Mkataba.
Wenzenu Simba mbona huwa wanawaacha tu wachezaji walio ishiwa mapenzi na timu kama Dejani.
Yanga sio bure kuna shida mahali.
Uto ndiyo akina nani?Tuchukulie mf FEISAL kaamka na kuwaandikia Barua UTO kuwa anaacha kucheza soka, hataki tena! UTO wangefanya nn?
Ni mali ya timu na hakuna sababu ya kuhoji. Mbona wewe hatuhoji shati lako ulilovaa.Yani kama hakuwa na nidhamu basi ndio swala la kuvunja mkataba lilitakiwa liwe jepesi sana kwasababu kuna kila sababu za kuvunja mkataba
Lakini pamoja na nidhamu yake kuwa mbovu you still hold him hamtaki kabisa aende. Why?