Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

Ni rahisi sana kwa mtanzania mwenye roho ya kinyonge kutaka Fei asubiri miez mingine bila maslahi kuliko kuishinikiza timu kumpa maslahi mazuri kuliko wageni.
 
Tangu feisal aondoke Yanga imecheza mechi mbili na imepata point zote sita katika hizo mechi. Nadhani ni muda sasa wakuachana na kelele za uyo feisal na kuendelea na focus ya kupata point zaid
 
Una tatizo na Fei Toto naona:-

  1. [IMG alt="LIKUD"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/116/116096.jpg?1550490068[/IMG]

    Kiroho zaidi: Huenda hii ndio sababu ya kiroho kwanini wadau wa mpira walikuwa wanasema Feisal ana takiwa kucheza Barcelona etc

    Feisal ndio mchezaji anae ongoza kwa kupewa sifa ambazo hana.. Mashabiki wa Yanga= Feisal hawezi cheza timu yoyote nje ya Yanga akitoka Yanga anaenda Madrid. Manara = Feisal sio mchezaji wa nchi hii. Amunike = Feisal anatakiwa kuchezea Barcelona. But ndio uhalisia huo? Sio kweli. Ukweli...
  2. [IMG alt="LIKUD"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/116/116096.jpg?1550490068[/IMG]

    Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

    Nitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama baadhi ya watu wanavyo jaribu kuaminisha. Imeonekana kumbe wachezaji wazawa ni watu wenye mambo ya...
    • LIKUD
    • Thread
    • Today at 10:32 AM
    • feisal wachezaji wazawa
    • Replies: 10
    • Forum: Jamii Sports
  3. [IMG alt="LIKUD"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/116/116096.jpg?1550490068[/IMG]

    Huu ndio wakati rasmi wa kuongea ukweli kuhusu Fiesal

    Nianze kwa kutoa lawama zangu KWA uongozi wa Yanga kwa sababu nimesikia eti Feisal amejiunga na kambi ya Yanga. Ni kwamba mashabiki wa Yanga hatumtaki Feisal. Tumeshakubali kwamba ameondoka. Hatumuhitaji please. Msije kushangaa akizomewa.. Na kwa wewe unaesema msimponde Fei kutaka kuondoka...
    • LIKUD
    • Thread
    • Dec 25, 2022
    • kuhusu kuongea rasmi ukweli wakati
    • Replies: 34
    • Forum: Jamii Sports
  4. [IMG alt="LIKUD"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/116/116096.jpg?1550490068[/IMG]

    Nzee Mpili shughulikia huyu kijana

    Nzee Mpili shughulikia kijana.. Wapi Nzee Jabiri
  5. [IMG alt="LIKUD"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/116/116096.jpg?1550490068[/IMG]

    Sababu kwanini Fei hapaswi kucheza tena Yanga baada ya sakata lake la Azam

    Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga. Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey. Kama kuna mtu yupo nyuma ya sakata la Fei kwa ajili ya kuwa push viongozi Yanga wa muongezee Fey mshahara...
    • LIKUD
    • Thread
    • Dec 24, 2022
    • azam baada kucheza sababu sakata tena yanga
    • Replies: 41
    • Forum: Jamii Sports

Nitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana

Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama baadhi ya watu wanavyo jaribu kuaminisha.

Imeonekana kumbe wachezaji wazawa ni watu wenye mambo ya kiswahili swahili wasio heshimu mikataba na wanao weza kurubunika kirahisi.

Kulikuwa na uharaka GANI wa kuondoka kambini wakati timu ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu na muhimu huku wewe ukiwa ni mmoja Kati ya wachezaji walio kuwa kwenye mipango ya kocha? Too much un-proffessional.

SAWA unataka kuondoka, Kulikuwa na umuhimu GANI wa kulazimisha kuondoka katika kipindi cha dirisha dogo. Kwanini usinge subiri mpaka mwisho wa msimu kipindi ambacho timu itakuwa na muda wa kutosha kutafuta mbadala wako.

Hao ndo mganga wako kakwambia by mwishoni mwa msimu nyota y'ako itakuwa imeshuka so Azam hawatokua Wana kuhitaji tena?

Tutarajie kuona Yanga ikisajili wachezaji wengi wa kigeni ambao wengi wao ni professional wenye kuheshimu mikataba yao, wasio madhabiki wa Simba na Yanga na wenye ndoto za kucheza soka nje ya Afrika...

Signature: Feisal sio mchezaji wa kutisha kihivyo isipo kuwa ni mchezaji ambae alikuwa na nyota ya kupendwa na mashabiki wa Yanga.

No Feisal no problem
Acha wivu na Roho ya kichawi ungekuwa kaka, dada au mama wa Fei ungeandika haya? kijana anahitaji pesa, yanga au team yoyote sio baba au mama hizi ni team TU . kumchukia mtanzania anayetaka pesa ni ushirikina . Kila siku unaandika Uzi wa fei toto kama kachukua mke wako , fei toto akilipwa vizuri furaha kwa ndugu zake , Mimi na wewe atufaidiki kitu hizi ni team tu , haziwezi kuwa na uhai kuliko binadamu
 
Sisi watanzaia miongoni mwa matatizo yetu ni kuthamini sana wageni hii hata kwenye upande wa kazi tu kawaida anaweza ajiriwa mtu hajui kitu lakini akalipwa mshahara mkubwa kuliko wewe, ushabiki wa kijinga hata kwenye mambo yalioyonamanufaa, ujinga hata kwa waliosoma ambao tunawaamini turudi kwenye mada fei ametekeleza moja ya vipengere vya Mkataba wake ndio maana tunasisitizwa sana tusome mikataba yetu au vigezo na masharti ili ujue inakubana wapi na wapi kuna tobo la wewe Kutokea, fei kaona tobo yanga wanapiga tu kelele, refer kwa mikataba ya wachezaji wengine wa yanga. Mtu wa compliance and contractual ana matatizo.
 
Mzee kwani Fei kakiuka mkataba upi!? Si karudisha hela za usajili na mshahara wa miezi 3 kama mkataba unavyotaka na kafanya kwenye dirisha la usajili
 
Acha wivu na Roho ya kichawi ungekuwa kaka, dada au mama wa Fei ungeandika haya? kijana anahitaji pesa, yanga au team yoyote sio baba au mama hizi ni team TU . kumchukia mtanzania anayetaka pesa ni ushirikina . Kila siku unaandika Uzi wa fei toto kama kachukua mke wako , fei toto akilipwa vizuri furaha kwa ndugu zake , Mimi na wewe atufaidiki kitu hizi ni team tu , haziwezi kuwa na uhai kuliko binadamu
Acha kukurupuka, unanichamba mimi badala ya anayehangaika na Fei Toto
 
Yaani awasubiri yanga watafute mbadala? Au asubiri msimu uishe? Yeye anatafuta pesa we unaleta hisia tu.
 
Tangu feisal aondoke Yanga imecheza mechi mbili na imepata point zote sita katika hizo mechi. Nadhani ni muda sasa wakuachana na kelele za uyo feisal na kuendelea na focus ya kupata point zaid
No Feisal no problem
 
Nitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana

Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama baadhi ya watu wanavyo jaribu kuaminisha.

Imeonekana kumbe wachezaji wazawa ni watu wenye mambo ya kiswahili swahili wasio heshimu mikataba na wanao weza kurubunika kirahisi.

Kulikuwa na uharaka GANI wa kuondoka kambini wakati timu ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu na muhimu huku wewe ukiwa ni mmoja Kati ya wachezaji walio kuwa kwenye mipango ya kocha? Too much un-proffessional.

SAWA unataka kuondoka, Kulikuwa na umuhimu GANI wa kulazimisha kuondoka katika kipindi cha dirisha dogo. Kwanini usinge subiri mpaka mwisho wa msimu kipindi ambacho timu itakuwa na muda wa kutosha kutafuta mbadala wako.

Hao ndo mganga wako kakwambia by mwishoni mwa msimu nyota y'ako itakuwa imeshuka so Azam hawatokua Wana kuhitaji tena?

Tutarajie kuona Yanga ikisajili wachezaji wengi wa kigeni ambao wengi wao ni professional wenye kuheshimu mikataba yao, wasio madhabiki wa Simba na Yanga na wenye ndoto za kucheza soka nje ya Afrika...

Signature: Feisal sio mchezaji wa kutisha kihivyo isipo kuwa ni mchezaji ambae alikuwa na nyota ya kupendwa na mashabiki wa Yanga.

No Feisal no problem
Hadi kufikia hatua akaona maamzi magum ndo suruhisho pekee kuna mambo mhimu atakua keshajaribu lakin ikashindikana

Tusimhukum kwakua hatujui mchakato aliuanza lini.
 
Doh nlikasahu hako kajamaa,
Ila akina Morison ndo wastaarabu?
Sijajua ila Efua ni mzoefu WA soka na Sheria zake azijua vyema SI kama Fei,
Fei Kwa hili katumia uwezo mdgo WA kufikir.
 
Alisikika chura mmoja akigugumia kwa sauti yenye maumivu
 
Morrsion naye ni mzawa?? Kufanikiwa kunaitaji tu matumizi sahihi ya fursa katika wakati sahihi, mwisho wa siku anafanya soka ili maisha yake yaimarike na si kufurahisha kundi fulani la watu.
 
Morrsion naye ni mzawa?? Kufanikiwa kunaitaji tu matumizi sahihi ya fursa katika wakati sahihi, mwisho wa siku anafanya soka ili maisha yake yaimarike na si kufurahisha kundi fulani la watu.
Hapo ndo mnapo waharibu wachezaji mkuu ..asicheze ILI kufurahisha watu wakati mpira ni mchezo wa furaha
 
Back
Top Bottom