Feisal ni busara kunyamaza

Feisal ni busara kunyamaza

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisiseme sana, ngoja sakata lake likiisha ntaumwagaaa waziii.

Kuinamishwa na mtu huna hisia nae, wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani kuna watu wamedharirika sana leo.Feisal wakizidi kukuletea mdomo,weka kila kitu hadharani kabisa
 
Tatizo wanajua kabisa kwa nini Feisal ana kiburi,huenda yeye ndiyo ana codes za hatari akiamua kuzifungua kwa uwazi zaidi watu watatafutana.Wamwache kijana wa watu aende zake kwa amani na awalipe stahiki zao kuliko kukaza mishipa ya shingo mwisho wakaishia kudharirika.
Kabisa, hapa swali la msingi ndo hilo tu. Kwann mnamkumbatia Fei?
 
Kabisa, hapa swali la msingi ndo hilo tu. Kwann mnamkumbatia Fei?
Kwakweli hata mimi nashangaa, mtu ameshadai hataki kucheza yanga na kaamua kuvunja mkataba kwa kipengele kilichopo kwenye mkataba, then what??
 
Tofautisha "huruma" na "kudemand" haki yako

Shida ni kwamba [emoji116]

"The mainstream media exists because stupid people are easily fooled and outraged."

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Yanga HAWAMTAKI.

Kama hawamtaki wamuache aende zake kwani shida ipo wapi...?
Kwa nini wanamuambia mara arudi wakae mezani, ama arudi akacheze mara timu inayomtaka iende...?
Wamuache asepe bila hizo porojo wanazopiga!
 
Inauma kinachoendelea akiongea inampa relief kwa kiasi fulani mradi hatukani mtu .
 
"Siwezi kucheza yanga tena bora kipaji changu kife kabisa."

"Akiondoka Hersi narudi Yanga hata sasahivi."

"Sina shida na Yanga ila nina shida na Hersi"

[emoji16]
 
"Siwezi kucheza yanga tena bora kipaji changu kife kabisa."

"Akiondoka Hersi narudi Yanga hata sasahivi."

"Sina shida na Yanga ila nina shida na Hersi"

[emoji16]
Kuna siri gani hapa?
 
Tatizo wanajua kabisa kwa nini Feisal ana kiburi,huenda yeye ndiyo ana codes za hatari akiamua kuzifungua kwa uwazi zaidi watu watatafutana.Wamwache kijana wa watu aende zake kwa amani na awalipe stahiki zao kuliko kukaza mishipa ya shingo mwisho wakaishia kudharirika.
Dah awe na codes wabongo wajuaji kuliko Fei anavyojijua
 
Karibuni
Screenshot_20230602-111256_1_nocrop.JPEG
 
Ishu ni kugombania mamlaka na ushawishi kati ya watu wawili. Kumbukeni Hersi amemkuta Feisal tayari yupo Yanga.

Baada ya Hersi kufanya mabadiliko na kuondoa wachezaji karibia wote kama alivyojisifia kule SA, Feisal ni mmoja wa wachezaji wachache waliobakishwa. Ishu ya Feisal na Hersi ni kutunishiana misuli nani mkubwa pale.

Inawezekana kabisa kwa sababu hizi Hersi alijaribu kwa makusudi kumfanyia mambo ya kumshushia hadhi na utu Feisal, na kumlipa kiduchu ni moja ya mbinu hizo.

Tuishi humu maana mzizi wa drama zote hizi ni huu.
 
Back
Top Bottom