Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Picha inasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni CAS sasa mkashitaki wapumbavu sana gongowaziYaani aende Azam halafu wanaofurahi ni mikia???kwamba ikikutana Azam na Mikia Fei hatowafunga?..
Mimba changa huambatana na mengi,yaani wengine huwa wanasikia Raha hata kunusa harufu ya viatu vya waume zao tu.
Tunamsubiri Manzoki,si mna hela ya kumtoa China!
Mikia bana
By Aloyce Nyanda Mtozi.
Sasa mnafurahi nini Fei kwenda Azam? Kwani Mkicheza na Azam Fei hatowafunga?Nendeni CAS sasa mkashitaki wapumbavu sana gongowazi
Kwahiyo yanga hawajagharamika?na kumkosa wakamkosa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba na Tff walishirikiana ku mpeleka Morrison Simba ila gharama na fedha iliyotumika kufanikisha swala hilo limewatia adabu viongozi wa Simba na Tff. Barbara hato sahau pesa iliyotumika, kufanikisha Dili ilo kichaaa.[emoji3][emoji3]
Azam kawatieni la kati wajinga nyieSasa mnafurahi nini Fei kwenda Azam? Kwani Mkicheza na Azam Fei hatowafunga?
Lakini wamevunja Kwa kuweka pesa.Kuvunja mkataba sio kirahisi hivyo
Acha kuweweseka. Hata kabla ya kuja Mayele, walishawahi kupita washambuliaji wakali zaidi yake! Mfano Nonda Shaban, aliyewahi kupita Yanga, na kuishia kucheza Uefa Champions League akiwa Monaco!Bado Mayele
Azam kawatieni la kati wajinga nyie
Saido tenayanga inakuwa kama majinga fulani linapokuja suala la kuachwa. Bila kugombana na mchezaji hajahama. Ilikuwa hivyo kwa BM3, Saido na sasa Fei. Huo ni upungani aisee acheni upuuzi
nimeandika mwandiko wenu mnielewe
Yaani aende Azam halafu wanaofurahi ni mikia???kwamba ikikutana Azam na Mikia Fei hatowafunga?..
Mimba changa huambatana na mengi,yaani wengine huwa wanasikia Raha hata kunusa harufu ya viatu vya waume zao tu.
Tunamsubiri Manzoki,si mna hela ya kumtoa China!
Mikia bana
By Aloyce Nyanda Mtozi.
Umeandika kwa hisia kali sana dah[emoji26]
Morrison aliuvunja kirahisi zaidi kuliko hata hiyo kuni, au tuseme kuliko mwiko kabisaAnabahati mbaya Kwa kudhani mkataba unavunjwa kama Kuni.