Kwa mtindo wake huo watawaacha wangapi, leo huyu akiachwa kirahisirahisi kesho atakuja mwingine, naye ataachwa! Ujue mpaka kumsajili mtu zimetumika pesa ndefu ukiacha za hitimisho.Yanga buana ☺☺☺
Kwanini wasimuache aende!? Au ndio Ile roho mbaya ya tukose wote😳
Unajua maana ya Mutual Agreement?Utaratibu gani huo ambao unatakiwa kufuatwa?
Pesa za mshahara wa miezi mitatu ni sehemu ndogo sana ya utaratibu baada ya pande mbili kukaa mezani na kukubaliana.Mtu amerudisha pesa za usajili na mshahara miezi mitatu lakini bado haijatosha kufanya mkataba uwe eliminated
Utaratibu gani huo ambao kila mkiuzungumzia mnafanya uonekane ni utaratibu mgumu sana na wenye complex zaidi
Mutual agreement sio necessary na hii tena ilielezwa ijumaa sports HQ na wakiliUnajua maana ya Mutual Agreement?
Kwasababu Wydad hawakutimiza vipengele vya katiba, kama vile kutomlipa stahiki zake. Simple. Feisal kuna lolote analoidai Yanga? Kuna pesa yake ya mshahara au bonus ambayo hakuwahi kupewa?Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Jielimishe na sheria za FIFA.Acha u mbumbumbu, Duniani umewahi sikia FA inapanga thamani ya mchezaji!! Klabu ndio inapanga thamani ya mchezaji yeye ni Asset ya club.
Thamani ya mchezaji haipatikani Kwa mshahara pekeyake Kuna gharama zilizo tumika kufikiasha kiwango chako pale kilipo.
Mfano training facility, Makocha, Malazi ,ujuzi n.k msikurupuke Kwa msiyo yafahamu.
TFF wanaruhusiwa kuvunja mkataba wa mchezaji na timu?Uto nao ni watata sana
Marupurupu ya kukupiga mkia, Mjinga mwenyewe
Huyo Dejan hata nyie mlishukuru kuondoka kwake maana ni mzigo.View attachment 2539186
Issue ya Dejan wala haikufika Karume wala CAS, iliishia gram wakamalizana. Ila hawa waswahili sasa, kila siku kutupigia kelele, hela yenyewe haizidi 150m.
Wao ndo wake chini waboteshe vipengere vya mikataba yao isiwe na mashimo,Yanga wanalinda mpira usiharibiwe. Fikiria hao wanaomlaghai fei watumie njia hizo hizo kwa mayele au job kutakuwa na soka kweli?
Yani mutual agreement sio necessary as per wakili wa kwenye Sports HQ na wewe ukalibeba kama lilivyo???Mutual agreement sio necessary na hii tena ilielezwa ijumaa sports HQ na wakili
Ety raja??? Duuuuuuuuhh Kama hujui kitu Bora ukatulia TUMsuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Ashapewa marejeo ya kesi yake, mbona hataki kwenda CAS mnapoamini atashinda mapema sana? Hana nauli?Jielimishe na sheria za FIFA.
Kwa faida yako na wana Utopolo wenzio.
Mi hapo ndio wameniacha high wayTFF wanaruhusiwa kuvunja mkataba wa mchezaji na timu?
Ana ugonjwa wa sonono na msongo wa mawazo na hawezi tena kuendelea kucheza mpira popoteKwasababu Raja hawakutimiza vipengele vya katiba, kama vile kutomlipa stahiki zake. Simple. Feisal kuna lolote analoidai Yanga? Kuna pesa yake ya mshahara au bonus ambayo hakuwahi kupewa?
CAS kufanya nini?Ashapewa marejeo ya kesi yake, mbona hataki kwenda CAS mnapoamini atashinda mapema sana? Hana nauli?