MAYUNGA1
New Member
- Apr 25, 2021
- 1
- 0
πππ wanamzungusha ile wapate chochote kitu hivi wewe hujawahi kupanda boda anakupeleka eneo ambalo hulijui kumbe lipo karibu tu. Atakuzungusha wee ili akutajie pesa nyingiWanasheria wa Tanzania pumbavu kabisa, hawana cha kushauri mtu πππ³π³π³π³ hii issue ni ya hiyari kwa Yanga