Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Hivi hawezi akaamua kubaki lakini asiwe anacheza inavyotakiwa ili wamfukuze, kwamfano akitupiwa pass anabutua mpira uende nje au kukosa magoli ya wazi
Atakua anamkomoa nani?
 
Acha u mbumbumbu, Duniani umewahi sikia FA inapanga thamani ya mchezaji!! Klabu ndio inapanga thamani ya mchezaji yeye ni Asset ya club.
Thamani ya mchezaji haipatikani Kwa mshahara pekeyake Kuna gharama zilizo tumika kufikiasha kiwango chako pale kilipo.
Mfano training facility, Makocha, Malazi ,ujuzi n.k msikurupuke Kwa msiyo yafahamu.
Nakazia AFYA ya Mchezaji kimwili na kiakili.
 
Wasimamie moja hata kama yapo mengi?

Sheria zinasema mchezaji aliyevunja mkataba alipishwe faini na kupewa adhabu ya miezi minne offline

Na adhabu ikiisha hawezi kuwa mchezaji wa hiyo timu

So why Yanga imemrudisha bila kufata utaratibu huo?

Hapo ndio wasiwasi wangu wa hii kesi kufanyika gizani unapokuja, hii kesi ingewekwa open kama ilivyokuwa kwa Morrison basi tungeshuhudia vitu vya ajabu sana

Nadhani ndio sababu TFF hawakutaka kuiweka bayana
Wakili wa online mbona mteja wako ananyanyasika wewe upo busy unabishana huku
 
Kama anahitaji Kuvunja mkataba na Yanga ni ishu rahisi wala haitaji kwenda TFF. Timu yake ya ushauri ilitakiwa iende kuonana na uongozi wa Yanga Moja Kwa Moja. Maana hapo Sasa mnaongelea maslahi ya pande zote mbili.

TFF watakachomwambia arudi akaongee na uongozi wake kuhusu Kuvunja mkataba na ndicho Yanga walichokihitaji. Ila Sasa ni wazi Feisal hana watu sahihi wa kumuongoza au ushauri wa kitaalamu anaopewa haridhiki nao anataka vile yeye anavyo ona inafaa.
Kwani hujui amekwenda TFF kwasababu Yanga hawatoi ushirikiano?

Walivyowekewa ile milioni 100 kwanini waliirudisha?

TFF wakiwabeba tena kama walivyowabeba kabla kwenye kesi ya Hersi na Manara ambayo wamekaa kimya mpaka leo, ndio huyo wakili anajua ataelekea wapi.
 
Wanasheria wa Tanzania pumbavu kabisa, hawana cha kushauri mtu [emoji3][emoji3][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hii issue ni ya hiyari kwa Yanga
Wajinga mpo wengi sana.
 
Mi siamini kwenye hukumu hii ya TFF kama imefanya haki kwa jinsi mwenendo wa hii kesi ulivyokuwa.

Swala la kwanini hajaenda CAS kuna mambo mengi, muda au gharama ya kuendesha kesi (kitu ambacho naamini Yanga ndio wamelichukulia kama weakness ya kuweza kumshinda)
Si huwa mnatuhakikishia kuwa Mwamba (Mtoto wa Bahressa) ndiye yuko nyuma yake?

Pesa inakosekanaje tena hapo? [emoji28]
 
Feisal Salum “Feitoto” atinga tena TFF akiwa na aliyemsaidia Saimon Msuva kushinda kesi CAS. Mara hii amewasilisha barua ya maombi kwa TFF akitaka kuvunja mkataba wake na klabu yake ya YANGA

View attachment 2539157

============
Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Feisal Salum, Machi 6, 2023 amefika kwenye Ofisi za Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF), Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha ombi kulitaka Shirikisho hilo kuuvunja mkataba wake na Yanga ikiwa ni siku chache zimepita tangu shauri lake litupiliwe mbali.

Feisal amefika Makao Makuu ya TFF akiwa ameongozana na Mwakilishi wake, Jasmin Razack wakiwa na barua mpya ya kuomba kuvunja mkataba wake na Yanga.

“Waandishi msikurupuke kwenye kusema Feisal kaonewa ama ameshindwa maneno mengi tuwe na uzalendo, ninaomba tuvute subra kwa mara ya kwanza leo, Feisal kaleta ombi lake naimani kama litashughulikiwa nina imani na TFF, chombo pekee kinachoweza kuvunja mkataba wa mchezaji ni TFF,” amesema Jasmin Razack.

Jasmin amewahi kusaidia Wachezaji mbalimbali kwenye migogoro ya kimkataba na klabu zao akiwemo Simon Msuva, Wilfred Bony aliyewahi kucheza Man City na Swansea City na Emmanuel Eboue aliyewahi kucheza Arsenal.
Kesi hii ina msukumo wa kisiasa hasa kwa vile inmgilusa mchezaji Mzanzibari. Tunza maneno yangu kama hukuelewa sasa utaelewa baadaye
 
Sema mi nafurahi sana kuona wana Uto wa leo mkiwa mna imani sana na TFF

Mmekuwa tofauti na Uto kwa kile kipindi cha shauri la Manara

Wale Uto waliotaka hadi kuandamana kwenda kwa Mama kisa hawaiamini TFF walikuwa ni incredibly stupid sana
Imani gani nakati hata hivi karibuni Makolokolo mlipendelewa kupewa ruhusa ya kughairi mechi kwa sababu za kipuuzi kabisa mkiwa mnatalii Dubai ilihali YANGA FC ilinyimwa hata siku 2 tu na ilikuwa na sababu za msingi hasa kwa kutopumzika ilipotoka kucheza na Africain FC Tunisia?


TFF = Makolokolo FC tukianzia na Rais mwenyewe, hutaki pita vile.
 
Hapo ndio sielewi inakuaje. Mchezaji kama alikuwa na release clause kwenye mkataba kama inavyodaiwa na akaitimiza habari za wao kumtaka akae mezani ni za nini. Mkataba ulisema alipe signing fee na mishahara ya miezi fulani, akafanya hivyo sasa yanini kuzungushana.

Si mkataba wa kazi una termination? Sidhani kama Faisal na watu wake ni wajinga wa sheria na mkataba. Ni Yanga hawahawa walichana sehemu ya mkataba wa Bernard Morisson.

Nahofia baadae Yanga kudaiwa fidia ya kumpotezea muda, fedha na kumpa usumbufu.
Upo sahihi kabisa. Mkataba wa Faisal una release clause. Sema Yanga wanaleta usumbufu usio wa lazima. Kumg'ang'ania mchezaji ambae hawamtaki that's amount to forced labour.
 
Yanga wana ujinga sana, kama mtu hakutaki ya nini? Ona Simba ilivyomkaushia mzungu Dejan
We jamaa sijui kama una akili kichwani, ukishakuwa Shoga basi akili huhamia makalioni. Always unawaza in a negative way, madhara ya kuni hayo.
 
Back
Top Bottom