We mwehu, sasa tambua, kuna mahakama za kimichezo kima wewe, hizo ndio hutumia sheria na kanuni za FIFA mbwa wewe. Kama unaona Fei anaonewa ungana nae tuwakaze wote.Unajua kusoma hoja?
Ni wapi nimesema mahakama za FIFA?
Unajua kutofautisha mahakama za FIFA na sheria za FIFA?
Japo umetumia lugha Kali ila vzr umempa za uso na asirudieWe mwehu, sasa tambua, kuna mahakama za kimichezo kima wewe, hizo ndio hutumia sheria na kanuni za FIFA mbwa wewe. Kama unaona Fei anaonewa ungana nae tuwakaze wote.
Mimi si ndiye niliyekuambia kuwa Swala la adhabu linaidhinishwa na mahakama kwa mujibu wa sheria za FIFA, wewe ukaja na mifano ya kina Mudathiri kupinga.We mwehu, sasa tambua, kuna mahakama za kimichezo kima wewe, hizo ndio hutumia sheria na kanuni za FIFA mbwa wewe. Kama unaona Fei anaonewa ungana nae tuwakaze wote.
Kama alikua sahihi katika uvunjaji wake wa mkataba sasa saivi anaomba tena kuvunja mkataba upi?Wasimamie moja hata kama yapo mengi?
Sheria zinasema mchezaji aliyevunja mkataba alipishwe faini na kupewa adhabu ya miezi minne offline
Na adhabu ikiisha hawezi kuwa mchezaji wa hiyo timu
So why Yanga imemrudisha bila kufata utaratibu huo?
Hapo ndio wasiwasi wangu wa hii kesi kufanyika gizani unapokuja, hii kesi ingewekwa open kama ilivyokuwa kwa Morrison basi tungeshuhudia vitu vya ajabu sana
Nadhani ndio sababu TFF hawakutaka kuiweka bayana
Hujaelewa scriptKama alikua sahihi katika uvunjaji wake wa mkataba sasa saivi anaomba tena kuvunja mkataba upi?
Kweni kesi ilipopelekwa ilihitaji adhabu?Hujaelewa script
Feisal kapeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba regarding na uamuzi wa review ya kesi yake ulivyoamuliwa kwa kumtambua kuwa ni Mchezaji wa Yanga
Nawe nikurudiahie swali
Kama kweli Feisal alifanya kinyume na sheria kuvunja mkataba kwanini hajapewa adhabu ya faini pamoja na kufungiwa na badala yake ameitwa kambini?
Feisal anasubiriwa ajae...,wakati huu sio rahisi.Hujaelewa script
Feisal kapeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba regarding na uamuzi wa review ya kesi yake ulivyoamuliwa kwa kumtambua kuwa ni Mchezaji wa Yanga
Nawe nikurudiahie swali
Kama kweli Feisal alifanya kinyume na sheria kuvunja mkataba kwanini hajapewa adhabu ya faini pamoja na kufungiwa na badala yake ameitwa kambini?
Hilo ni juu yake atajua mwenyeweJe akilazimishwa kurudi atacheza mpria wa kiwango kweli?
Kwanini asiende CAS sasa akapate haki yake ? Kwanini arudi sehemu ilele anayojua haitendi haki na aombe itende haki?Hujaelewa script
Feisal kapeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba regarding na uamuzi wa review ya kesi yake ulivyoamuliwa kwa kumtambua kuwa ni Mchezaji wa Yanga
Nawe nikurudiahie swali
Kama kweli Feisal alifanya kinyume na sheria kuvunja mkataba kwanini hajapewa adhabu ya faini pamoja na kufungiwa na badala yake ameitwa kambini?
Na kashaanza kujaa,..maji lazima aite mmaa!Hujaelewa script
Feisal kapeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba regarding na uamuzi wa review ya kesi yake ulivyoamuliwa kwa kumtambua kuwa ni Mchezaji wa Yanga
Nawe nikurudiahie swali
Kama kweli Feisal alifanya kinyume na sheria kuvunja mkataba kwanini hajapewa adhabu ya faini pamoja na kufungiwa na badala yake ameitwa kambini?
Kwa mujibu wa sheria ya FIFA mchezaji atayevunja mkataba kiholela lazima awajibishwe kwa faini na kufungiwaKweni kesi ilipopelekwa ilihitaji adhabu?
Yanga ilihitaji tu uhalali wake wa kuvunja mkataba na hapo ikaonekana mkataba bado uko valid sasa wampe adhabu ya nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]aiseeHii kesi Feisal hata aje na wale wazee 24 wa mbinguni hatoboi
Feisal hajavunja mkataba sasa apewe adhabu ya nini?Kwa mujibu wa sheria ya FIFA mchezaji atayevunja mkataba kiholela lazima awajibishwe kwa faini na kufungiwa
Na baada ya hayo hawezi kuendelea kuhudumu kwenye Club hiyo kwasababu mkataba ulishavunjika
Huyo jamaa ni mdumavu wa akiliMudathir, Sureboy, Morris hao walihukumiwa na mahakama za FIFA? hawakusimamishwa na Azam? Greenwood alisimamishwa na mahakama gani ya FIFA?
Feisal kafanya kosa gani lililowapeleka Yanga TFF?Feisal hajavunja mkataba sasa apewe adhabu ya nini?
Mbona tunarudi nyuma sasaFeisal kafanya kosa gani lililowapeleka Yanga TFF?
Yanga walisema amevunja mkataba bila kufuata utaratibuFeisal hajavunja mkataba sasa apewe adhabu ya nini?
Alifanya nn? Kwann suala lao lipo TFF?Mbona tunarudi nyuma sasa
Kama angevunja mkataba Leo asingepeleka barua ya kuomba tena kuvunja mkataba