National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Wachezaji wetu wa kitanzania hawasongi mbele sana kwasababu ya uswahili na watu walio wazunguka.. wanajiua vipaji na uaminifu.. sio pro kabisaMuda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..