changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Kwani kesi ya Msumva na ya Feitoto inalingana? Ishu sio mwanasheria ishu ni aina ya kesi.Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kesi ya Msumva na ya Feitoto inalingana? Ishu sio mwanasheria ishu ni aina ya kesi.Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Ni nani anampa Fei kibri?Wanasheria wao hawana kosa kazi Yao ni kupiga mpunga, Uzuri wa Ili swala wadau wote wa mpira wanajua nani anaye mpa kibri Feisal.
Inawezekana Feisal anafikiri Tff na Yanga hawajui kinacho endelea ndio maana Kila siku ana badilishiwa wasimamizi wa swala lake. Iyo yote ni fedha inateketea.
Msuva alikua tatizo la malipo ya mshahara na signing fee na kanuni zipo wazi.Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Acha majinga upande wwte una uwezo wa kuvunja mkataba ilimradi ulipe gharama za kuvunja mkataba.
Mtoto wa azamNi nani anampa fei kibri?
Hakuna anayemtaka Mayele anayefunga goli moja baada ya mechi 8 🤣😂🤣Yanga wanalinda mpira usiharibiwe. Fikiria hao wanaomlaghai fei watumie njia hizo hizo kwa mayele au job kutakuwa na soka kweli?
Sasa kipi unachobisha. Mawakili ndio wameshatinga kwenda kuvunja mkatabaHaujielewi, anayevunja anaingia gharama ya masharti ya mwingine, hakuna kitu kisichovunjika, shida ni gharama na masharti.
Dejan na Mbumbumbu fc walimalizana ki staarabu kwakua wote walikiuka makubaliano ya ki mkataba na walijitambua. Sasa ukishauriwa na vilaza mwishowe ni ku umia tu.View attachment 2539186
Issue ya Dejan wala haikufika Karume wala CAS, iliishia gram wakamalizana. Ila hawa waswahili sasa, kila siku kutupigia kelele, hela yenyewe haizidi 150m.
Sasa wewe unasema nini tofauti na alichosema yeye?Haujielewi, anayevunja anaingia gharama ya masharti ya mwingine, hakuna kitu kisichovunjika, shida ni gharama na masharti.
Na hapo ndi anepobug bwana kijana feudogoIla Sasa ni wazi Feisal hana watu sahihi wa kumuongoza au ushauri wa kitaalamu anaopewa haridhiki nao anataka vile yeye anavyo ona inafaa
Usimfananishe Mdhungu na huyo mzanzibar.View attachment 2539186
Issue ya Dejan wala haikufika Karume wala CAS, iliishia gram wakamalizana. Ila hawa waswahili sasa, kila siku kutupigia kelele, hela yenyewe haizidi 150m.
Ukemwaga mboga nimwagie ugaliYanga buana ☺☺☺
Kwanini wasimuache aende!? Au ndio Ile roho mbaya ya tukose wote😳
Kwa hiyo nyie kumlisha mtoto wa watu ugali na sukari hamkuwa mnakiuka mkataba kweli? 🤣😂🤣😂Dejan na Mbumbumbu fc walimalizana ki staarabu kwakua wote walikiuka makubaliano ya ki mkataba na walijitambua. Sasa ukishauriwa na vilaza mwishowe ni ku umia tu.
Hata nyie mnajiona timu kubwa ila vipers wanawaona kama zuwena tu. Kila mtu na mtazamo wake.Hakuna anayemtaka Mayele anayefunga goli moja baada ya mechi 8
...Pole SanawanaYanga ! Atashinda TU!...Naona fei hataki kukubal kaona achukue wakili mwingine ili aweze kula pesa zake mawakili na wanasheria hawajawah kusema suala linashindikana au ww hutoboi lazma wachukue pesa baadae ndo utaambiwa suala
Limeshindikana
Sisi hatutaki yeye acheze, atasugua benchi mpaka matako yalegeeMuda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..
Kwani kwenye huo mkataba kuna sehemu walikataza fei asile ugali na sukari?Kwa hiyo nyie kumlisha mtoto wa watu ugali na sukari hamkuwa mnakiuka mkataba kweli?
Anayewapoteza Vipers mbingu hataiona.Hata nyie mnajiona timu kubwa ila vipers wanawaona kama zuwena tu. Kila mtu na mtazamo wake.
Mayele kuwa mbovu ni mtazamo wako tu.. Sikupingi.