Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Wanasheria wao hawana kosa kazi Yao ni kupiga mpunga, Uzuri wa Ili swala wadau wote wa mpira wanajua nani anaye mpa kibri Feisal.
Inawezekana Feisal anafikiri Tff na Yanga hawajui kinacho endelea ndio maana Kila siku ana badilishiwa wasimamizi wa swala lake. Iyo yote ni fedha inateketea.
Ni nani anampa Fei kibri?
 
20230306_133624.jpg

Issue ya Dejan wala haikufika Karume wala CAS, iliishia gram wakamalizana. Ila hawa waswahili sasa, kila siku kutupigia kelele, hela yenyewe haizidi 150m.
 
Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Msuva alikua tatizo la malipo ya mshahara na signing fee na kanuni zipo wazi.

Feisal ata aende CAS atarudishwa Kuja kumalizana na Yanga kwanza ndio apewe nafasi kwenda klabu nyingine.

CAS haijaundwa Ili kuvikamdamiza vilabu, na bahati Mbaya CAS uwa wanaomba ufafanuzi wa mgogoro uliopo na FA ya Nchi husika. Apo ndipo Feisal anakwenda ku unguzwa.
 
View attachment 2539186
Issue ya Dejan wala haikufika Karume wala CAS, iliishia gram wakamalizana. Ila hawa waswahili sasa, kila siku kutupigia kelele, hela yenyewe haizidi 150m.
Dejan na Mbumbumbu fc walimalizana ki staarabu kwakua wote walikiuka makubaliano ya ki mkataba na walijitambua. Sasa ukishauriwa na vilaza mwishowe ni ku umia tu.
 
Dejan na Mbumbumbu fc walimalizana ki staarabu kwakua wote walikiuka makubaliano ya ki mkataba na walijitambua. Sasa ukishauriwa na vilaza mwishowe ni ku umia tu.
Kwa hiyo nyie kumlisha mtoto wa watu ugali na sukari hamkuwa mnakiuka mkataba kweli? 🤣😂🤣😂
 
Naona fei hataki kukubal kaona achukue wakili mwingine ili aweze kula pesa zake mawakili na wanasheria hawajawah kusema suala linashindikana au ww hutoboi lazma wachukue pesa baadae ndo utaambiwa suala
Limeshindikana
...Pole SanawanaYanga ! Atashinda TU!...
[emoji107]
 
Back
Top Bottom