SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Ngoja mashuti yake ayaelekeze kwa Diarra ndiyo labla watamuelewa.Iliyobaki ni kumlazimisha Feisal acheze. Yaani anapangwa kwenye kikosi dhidi ya TP Mazembe, na analazimishwa apige shuti goli liingie. Atake atapiga shuti, asitake atapiga shuti