National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Wachezaji wetu wa kitanzania hawasongi mbele sana kwasababu ya uswahili na watu walio wazunguka.. wanajiua vipaji na uaminifu.. sio pro kabisaMuda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..
Toka atoe mwiko nyuma, sina uhakika kwa sasa...Nani yupo nyuma ya Feisal?
Kama anahitaji Kuvunja mkataba na Yanga ni ishu rahisi Wala haitaji kwenda Tff .Timu yake ya ushauri ilitakiwa iende kuonana na uongozi wa Yanga Moja Kwa Moja.
Maana apo Sasa mnaongelea maslahi ya pande zote mbili.
Tff watakacho mwambia arudi akaongee na uongozi wake kuhusu Kuvunja mkataba na ndicho Yanga walicho kihitaji.
Ila Sasa ni wazi Feisal Hana watu sahihi wa kumwongoza au ushauri wa kitaalamu anao pewa haridhiki nao anataka vile yeye anavyo ona inafaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Uto nao ni watata sana
Sio kama Yanga wanamlazimisha abaki, bali wanalazimisha kufuatwa kwa utaratibu na sheriaMuda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..
So what?Naona fei hataki kukubal kaona achukue wakili mwingine ili aweze kula pesa zake mawakili na wanasheria hawajawah kusema suala linashindikana au ww hutoboi lazma wachukue pesa baadae ndo utaambiwa suala
Limeshindikana
Marupurupu gani na wee unaongea ficha ujingaUnadhani ni yeye ndo anatoa hizo pesa? Feisal siyo mjinga na eala hajakurupuka, usikute anapokea mshahara na marupurupu kama kawaida tofauti na hayo ya Yanga.. iko hivyo kwa soka letu la tanzania
Kesi ya Msuva haifanani na ya fei hata kidogo.Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
Sheria lazima ifuatwe.Muda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..
Wanasheria wao hawana kosa kazi Yao ni kupiga mpunga, Uzuri wa Ili swala wadau wote wa mpira wanajua nani anaye mpa kibri Feisal.Wanasheria wa Tanzania pumbavu kabisa, hawana cha kushauri mtu [emoji3][emoji3][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hii issue ni ya hiyari kwa Yanga
Hailipi yeyeMpaka afanikiwe, ile Signing fee yote inaishia kwa Mawakili.
Wamwachie tu..
Kwahiyo wamuache tu kienyeji?Yanga buana [emoji5][emoji5][emoji5]
Kwanini wasimuache aende!? Au ndio Ile roho mbaya ya tukose wote[emoji15]
Shangazi na mpila wapi na wapi.. hapa ndio waswahili tunatoaga boko, unachukuwa wakili wa alibobea kwenye maswala ya criminal akasimamie kesi za michezo ..Kwani Shangazi nae kesi imemshinda?
Feisal anafikiri TFF hawajui kinachoendelea na kesi anapeleka kwao.Wanasheria wao hawana kosa kazi Yao ni kupiga mpunga, Uzuri wa Ili swala wadau wote wa mpira wanajua nani anaye mpa kibri Feisal.
Inawezekana Feisal anafikiri Tff na Yanga hawajui kinacho endelea ndio maana Kila siku ana badilishiwa wasimamizi wa swala lake. Iyo yote ni fedha inateketea.
Acha majinga upande wwte una uwezo wa kuvunja mkataba ilimradi ulipe gharama za kuvunja mkataba.Hata hawa mawakili hawana akili kabisa, bora angeenda kuongea na Engineer Hersi mwenyewe.....
Yanga wanalinda mpira usiharibiwe. Fikiria hao wanaomlaghai fei watumie njia hizo hizo kwa mayele au job kutakuwa na soka kweli?Yanga buana
Kwanini wasimuache aende!? Au ndio Ile roho mbaya ya tukose wote