Feisal Salum(Feitoto) kuendelea kuichezea Yanga

Feisal Salum(Feitoto) kuendelea kuichezea Yanga

Kuna watu ukiwasikiliza utadhani wanalipwa mil 10 kwa mwezi kumbe laki 5 lakini wanachonga sana kwenye ishu ya Feisal
Hapana mkuu, iweje Bernard, Mayele, Aziz Ki wachukue zaidi ya 15M halafu kwa fei Mil4 muione kubwa?
 
Hapana mkuu, iweje Bernard, Mayele, Aziz Ki wachukue zaidi ya 15M halafu kwa fei Mil4 muione kubwa?
Huo ni ujinga wako kweni ulipewa mkataba hukuona ?

Kwanini hayo unayohoji hukuhoji kwenye majadiliano? Mbona ulisaini mkataba sasa saivi kelele za nini?

Tuwafundishw wachezaji wetu namna ya kujadiliana kwenye mikataba na kujumuisha mahitaji yetu yote sio kwenye mkataba uko kimya ukija nje unaanza kelele unazani unaonewa.

haya maswala ya kuzidiana mshahara yapo kwenye kila timu hata Nelson Okwa anayekaa bench anamzidi mshahara Mzamiru Yasin.
 
Kwa sisi tuaojua sheria za usajili wa wachezaji, hili swala la Feitoto na Yanga linawapa advantage Yanga kuendelea kummiliki mchezaji pamoja na mchezaji kuwa amelipia mkataba wake uliosalia..

Kitu pekee ambacho kitamruhusu Feitoto kucheza Azam ni pale tu uongozi wa Azam utakapokubaliana na uongozi wa Yanga.

Vinginevyo haitatokea mchezaji huyo kucheza timu tofauti na Yanga hadi pale mkataba wake na Yanga utakapoisha tarehe 30 June 2024

Feitoto akicheza Azam niitwe shoga na mke wangu achukuliwe akaliwe na popoma, pia nipigwe life ban humu JF.
Kabisa, watu wengi hawajui sheria na taratibu za soka. Wananyofoa kipengere kimoja tu wanashupaa nacho wee na ushabiki maandazi
 
Huo ni ujinga wako kweni ulipewa mkataba hukuona ?

Kwanini hayo unayohoji hukuhoji kwenye majadiliano? Mbona ulisaini mkataba sasa saivi kelele za nini?

Tuwafundishw wachezaji wetu namna ya kujadiliana kwenye mikataba na kujumuisha mahitaji yetu yote sio kwenye mkataba uko kimya ukija nje unaanza kelele unazani unaonewa.

haya maswala ya kuzidiana mshahara yapo kwenye kila timu hata Nelson Okwa anayekaa bench anamzidi mshahara Mzamiru Yasin.
Mi nafikiri wakati fei anasaini mkataba wa kulipwa 4M alikuwa anastahili hiyo pesa, Ila kwa sasa anaona kiwango kinazidi pesa ndiomaana akachukua jukumu la kuvunja mkataba kwa vipengele vya mkataba
 
Kabisa, watu wengi hawajui sheria na taratibu za soka. Wananyofoa kipengere kimoja tu wanashupaa nacho wee na ushabiki maandazi
Mkuu madhara ya usimba na uyanga ndio yanapofusha.. Yaani nyeupe mtu anasema nyeusi
 
Back
Top Bottom