Tetesi: Feisal Salum mbioni kujiunga na Simba

Feisal ni mchezaji pekee kwa Sasa kila dirisha la usajili anasajiliwa na makolo ila baada ya usajili Kisha anacheza Azam.
Mwishoni watampata akiwa amezeeka. Kama ilivyokuwa kwetu Yanga. Chama tulimsajili sana akachezea Simba leo hii siku zake za hedhi zimekata yupo kwetu
 
Simba Mna One Billion Y Yanga Mana Kuna Kipengele Kama Azam Watamuuza Kwenda Timu Yyt Ndani Y Miaka Mitatu Yanga Ipewe Hy Hela
 
Mumkumbushe kocha wetu kuna wachezaji wengine pia mpaka sasa bado hawajaletwa klabuni! Mfano Caesar Manzoki, na Adebayor.
 
Simba Mna One Billion Y Yanga Mana Kuna Kipengele Kama Azam Watamuuza Kwenda Timu Yyt Ndani Y Miaka Mitatu Yanga Ipewe Hy Hela
Mkuu hichi kipengele ni rasmi? Namaanisha umemsikia kiongozi rasmi akisema hili au umeona mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…