princeNathan
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 312
- 632
Wew ni katoto ka ibilisi kashilikina uchomwe moto ubaki na komwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chuki tu zinakusumbuwaPerformance ya jana was shameful. He provide no help to the team. Ni mzigo bora hata wakina Barua au tutafute number 10 mwingine.
Tunashidwa kumpa boost kwenda mbele. Maana tuna wasiwasi na kiwango chake.
ukiona umeandika tumemvumilia sana. kiwango dogo hana. we shouldnt hide the truthKama hutaki Fei aitwe,je nafasi yake au namba yake acheze nani?
Mpira hujui na kuambiaga kafuatilie marede.Mechi moja tu ushamtoa kasoro.
why him?? kuna alot of players nawaona bora. ally salim was great, waziri tried, . ila huyu he was the weakest linkNi chuki tu zinakusumbuwa
yall hate kuambiwa ukweliWew ni katoto ka ibilisi kashilikina uchomwe moto ubaki na komwe
MudathirK
Nitajie mchezaji Gani alicheza vizur Jana kwa upande wa taifa Stars ukiacha golikipa.
Sasa sisi tutajuaje kama hukupigwa hizo chuma mbili?Ushindi tuliopata dhidi ya Zambia ulikuwa wa bahati bahati tu; ilikuwa tupigwe chuma mbili safi ila tukawa na bahati ya mtende
Ni kweli feisal hana impact kwenye ngazi ya kimataifa na sio staz tu hata akiwa yanga na azam hajawahi kufanya cha maana linapokuja suala la mashindano ya kimataifa lakini kwa game ya jana taifa starz ilielewa.. kidogo mabeki walijitahidi kukaza ila kuanzia kwenye midfielder kwenda hakuna kitukabisa. Feisal alikuwa kama anacheza against stars. stars walikuwa 10 uwanjani. Feisal atemwe waje watu wa maana dogo hana kiwango,
in short dogo stars wamteme until kiwango kipande
KipaK
Nitajie mchezaji Gani alicheza vizur Jana kwa upande wa taifa Stars ukiacha golikipa.
Huwa sioni afanyacho starsPerformance ya jana was shameful. He provide no help to the team. Ni mzigo bora hata wakina Barua au tutafute number 10 mwingine.
Tunashidwa kumpa boost kwenda mbele. Maana tuna wasiwasi na kiwango chake.
Umemvumilia wewe na nani? Kwa wachezaji wa ndani first 11 Fei hana kipingamizi ni mchezaji mzuriukiona umeandika tumemvumilia sana. kiwango dogo hana. we shouldnt hide the truth
🚮Umemvumilia wewe na nani? Kwa wachezaji wa ndani first 11 Fei hana kipingamizi ni mchezaji mzuri
Swali la kipumbavu litokalo kichwani mwa mtu ambao hupigwa bomba kila mara kiasi kuwa akili zao hazifanyi kazi tena bali wanafikiria bomba tu. Hatuwezi kuwazuia wapigwa bomba kama wewe kuandika kwenye keyboard zenu.Sasa sisi tutajuaje kama hukupigwa hizo chuma mbili?
Ni kweli Feisal juzi hakuwa na kiwango kizuri, lakini si sahihi kusema mchango wake ni "useless". Feisal siyo kiungo mkabaji, kitendo cha kocha kumtoa Mudathir na kumbakiza Himid Mao ambaye alishapata majeraha mwanzo ilimfanya Feisal afanye kazi ya kiungo mkabaji ambayo haiwezi Hadi alipoingia Mtasingwa.mpira uko wazi, dogo ni mzigo pale stars, anatuludisha nyuma, makocha wamteme tu. stars aina simba wala yanga.
Feisal tungempigia debe mbele sema kiwango chake cha mashaka sana.
in short sio level hiyo.
Bora Mzize alikuwa anakaba, huyo Feisal alikuwa anafanya nini sasa. Hopless kabisa, aliikaba timu.Feisal kucheza chini ya kiwango sio sababu ya yeye kutoitwa stars mbona Mzize mbali ya kukimbia na kupata Kadi za njano za kujitakia namsemwi aachwe.
Kocha alitakiwa amwambie Feisal apunguze madoido na Hilo tatizo alikuwa nalo Abdul Soap alikuwa anampenda Sana kukaa na mpira.
Kusukuma na mikono ndio kukabaBora Mzize alikuwa anakaba, huyo Feisal alikuwa anafanya nini sasa. Hopless kabisa, aliikaba timu.
Kwani huwa wanakabajeKusukuma na mikono ndio kukaba