Feisal salum team ya taifa ni useless. Tutafute mchezaji mwingine

Feisal salum team ya taifa ni useless. Tutafute mchezaji mwingine

Ni kweli Feisal juzi hakuwa na kiwango kizuri, lakini si sahihi kusema mchango wake ni "useless". Feisal siyo kiungo mkabaji, kitendo cha kocha kumtoa Mudathir na kumbakiza Himid Mao ambaye alishapata majeraha mwanzo ilimfanya Feisal afanye kazi ya kiungo mkabaji ambayo haiwezi Hadi alipoingia Mtasingwa.
lini amewai kuwa na game nzuri team ya taifa?? Hata mechi moja??. vision hana. kukaba awezi. mbio hana.
he offers nothing.

such a weak player
 
Hii timu yetu isingekuwa inaendeshwa kishwahili swahili huyo Feisal Toto asingejumuishwa kabisa kwenye squad ya timu ya taifa kwa muda usiojulikana
Kocha muunguja atamwachaje Poti wake?
 
tutafute mwingine. dogo akae nje.
Atafutwe mwingine nani sasa wa kumuweka benchi Feisal 🤔 najua wengi mnataka acheze timu ya taifa kama anavyo cheza Azam lakini mnapaswa kujua hizi ni timu ambazo zina mfumo tofauti kabisa wa kumtumia, akiwa Azam timu imejengwa kumpa nafasi ya kufanya chochote anachopenda uwanjani tofauti kabisa na stars
 
Na ukiona ktk mechi kipa ndio anaonekana mchezaji Bora kuliko wengine basi ujue timu nzima ilikuwa mbovu.

Sahihi kabisa.... Thibauti Courtious goalkeeper wa Real madrid ndio alikuwa Man of the Match kwenye Fainali ya Uefa champions league dhidi ya Liverpool mwaka 2022.

Pamoja na kuonesha kiwango kizuri siku hiyo kilichoisaidia timu yake kutwaa ubingwa lakini yeye hakuifurahia kabisa ile tuzo ya MOTM sababu inaonesha jinsi gani defense yake haikuwa makini siku hiyo.
 
Atafutwe mwingine nani sasa wa kumuweka benchi Feisal 🤔 najua wengi mnataka acheze timu ya taifa kama anavyo cheza Azam lakini mnapaswa kujua hizi ni timu ambazo zina mfumo tofauti kabisa wa kumtumia, akiwa Azam timu imejengwa kumpa nafasi ya kufanya chochote anachopenda uwanjani tofauti kabisa na stars
sio azam tu. kitambo since yanga days , huyu dogo Feisal toka ameanza kucheza team ya taifa ametusaidia nini?? maana kukaba awezi, assist awezi, pasi awezi, physic hana, speed hana, kiwango ni below standard, balua is a better player. kujitoa awezi.

tunamlea tu team ya taifa ila apigwe chini. mid field ipo empty amna hata transition 🚮. kama tupo 10 uwanjani.

2. hatuwezi kosa mchezaji amini hivyo.
huyu dogo hatufai, we can't be in next afcon with such players.
 
Back
Top Bottom