Feisal Salum unajisikiaje kwa sasa?

Feisal Salum unajisikiaje kwa sasa?

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Pale unapoondoka kwa kiburi, jeuri na nyodo na hata kuwatolea maneno ya jeuri viongozi wa timu.

Nikaona hadi familia yako ikaingilia kati.

Nikaona hadi mamlaka kuu zikakusimamia na kukubeba.

Ogopa mtu mzima uliyemkosea na akakuambia HEWALA WEWE NDIO MKUBWA.

Binafsi ninaamini wewe haukuwa na Baraka kwenye klabu ya Yanga maana ulivyoondoka tu NDIPO MWENYEZI MUNGU AKASHUSHA NEEMA YA MAFANIKIO NA TIMU KUFANYA VEMA ZAIDI KIMATAIFA.

Anyway huenda na wewe huko Azam umewapelekea Baraka za mafanikio ya ligi ya ndani na kimataifa.

Halafu mimi niliamini wewe ni mchezaji mkubwa lakini ulivyoondoka ndipo nikajua kumbe hata Ihefu unafiti.

Nakumbuka jinsi wanahabari walivyokutumia ukawa unaropoka live. Hivi wale jamaa huwa wanakupigia hata simu kukusalimia kweli.

Halafu ulinifurahisha pale uliposema Engr Hersi Saidi akiondoka wewe unarudi Yanga siku hiyohiyo. Hivi ulimaanisha tumtoe Engr Hersi halafu wewe urudi KUTUFIKISHA HII HATUA YA ROBO FAINALI ya Caf tuliuopo sasa!!!!!
 
Pale unapoondoka kwa kiburi, jeuri na nyodo na hata kuwatolea maneno ya jeuri viongozi wa timu.

Nikaona hadi familia yako ikaingilia kati.

Nikaona hadi mamlaka kuu zikakusimamia na kukubeba.

Ogopa mtu mzima uliyemkosea na akakuambia HEWALA WEWE NDIO MKUBWA.

Binafsi ninaamini wewe haukuwa na Baraka kwenye klabu ya Yanga maana ulivyoondoka tu NDIPO MWENYEZI MUNGU AKASHUSHA NEEMA YA MAFANIKIO NA TIMU KUFANYA VEMA ZAIDI KIMATAIFA.

Anyway huenda na wewe huko Azam umewapelekea Baraka za mafanikio ya ligi ya ndani na kimataifa.

Halafu mimi niliamini wewe ni mchezaji mkubwa lakini ulivyoondoka ndipo nikajua kumbe hata Ihefu unafiti.

Nakumbuka jinsi wanahabari walivyokutumia ukawa unaropoka live. Hivi wale jamaa huwa wanakupigia hata simu kukusalimia kweli.

Halafu ulinifurahisha pale uliposema Engr Hersi Saidi akiondoka wewe unarudi Yanga siku hiyohiyo. Hivi ulimaanisha tumtoe Engr Hersi halafu wewe urudi KUTUFIKISHA HII HATUA YA ROBO FAINALI ya Caf tuliuopo sasa!!!!!
Anacheki tu kwenye luninga, mbona sasa mama hamsaidii, wazanzibar wanavyosaidiana hadi kwenye mambo ya ajabu kama haya, ati rais anaingilia jamob la uyu faizattoto kwasababu tu ni mzenji, si ajabu hii? anaisoma namba tu. jeuri na kibri wakati bado saana mpira hajui.
 
Hawa jamaa wanagubu kama vile huyo kijana walimtolea mahari. Jinga thana.
shida ni kwamba alilelewa vibaya, ati anakuja kusema harudi yanga kama rais hajaondoka, alitaka kujifanya yeye ni wa muhimu saaana yanga asiporudi yanga kwishney? akalambe icecream huko.
 
Unataka alewe sifa huku akilipwa kidogo?, au akose sifa ila ale mpunga mrefu?.
Halafu baadae waje wamtekeleze, kuna wachezaji kibao wame Cheza hizi timu kubwa hata wakiumwa TB inabidi bakuli litembee. Ukipata chance piga hela.

Hizo sifa hazisaidii Chochote kama watoto wanakula ugali dagaa
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom