Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
imagine mtoto mdogo tena mzanzibar, amejaa sifa anajiona yeye ndio bora yanga harudi bila rais kuondoka, kweli? na hapohapo kuna allegation kwamba alitanguliziwa mpunga mrefu yeye akaula wote akawa hana na kazi inadai. akacheze jang'ombe huko au kizmkazi.Hamna majungu wala ukweli mtupu ameandika, yaani aondoke eng arudi yeye shubamit