Feisal Salum unajisikiaje kwa sasa?

Hamna majungu wala ukweli mtupu ameandika, yaani aondoke eng arudi yeye shubamit
imagine mtoto mdogo tena mzanzibar, amejaa sifa anajiona yeye ndio bora yanga harudi bila rais kuondoka, kweli? na hapohapo kuna allegation kwamba alitanguliziwa mpunga mrefu yeye akaula wote akawa hana na kazi inadai. akacheze jang'ombe huko au kizmkazi.
 
Mkuu ukiendlea na majungu kama haya muda sii mrefu utaleft group.

Pili, kama mwanaume lazima ujitambue.. mpira ni kazi, sio ushabiki. Feisal anafamiliq inayomtegemea. Lazima aitafute pesa bila kujali umaarufu au makombe.

Mtu kama Mwamnyeto au wachezaJi wengine wazawa pale Yanga wanaweza kushinda mataji meeengii sana, ila Feisal akawa akawa tajiri kuliko wao!
 
shida ni kwamba alilelewa vibaya, ati anakuja kusema harudi yanga kama rais hajaondoka, alitaka kujifanya yeye ni wa muhimu saaana yanga asiporudi yanga kwishney? akalambe icecream huko.
Kwani una tatizo naye? Utamudu kujibizana na kila mtu anayetoa mtazamo tofauti na wako mkuu?

Mambo mengine unayaacha yanapita, katika mpira ni kama siasa, utashangaa miaka ijayo wewe ukashangilia urejeo wa huyo Feisal Salum " Feitoto" huko Yanga.

Jifunze kuacha yapite na yaishe.
 
huyo tumwache sasa
 
Taarabu modern jazz band

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha nongwa na u-move on,

Kwani hapo Yanga angecheza milele? Hao waliocheza miaka yote Hadi wakastaafu hapo Yanga wamepata Nini kikubwa
 
Fei ana furaha na amani huko alipo kuliko alivyokuwa Yanga. Hayo mengine ni majungu na matamanio yako tu.
 
Kwahiyo mlimtupia kama Mayele?
 
shida ni kwamba alilelewa vibaya, ati anakuja kusema harudi yanga kama rais hajaondoka, alitaka kujifanya yeye ni wa muhimu saaana yanga asiporudi yanga kwishney? akalambe icecream huko.
Fai hawezi kusajiliwa timu za nje kwasababu ya tibia aliyoionyesha kwenye timu ya Yanga, Yeye angekuwa mvumilivu sasa hivi angekuwa ana cheza Far Rabat ya Nabj, lakini kwa tabia yake hakuna timu makini Itakayo mfata kumsajili Timu za wenzetu wana angalia Nidhamu ndani ya uwanja na nje ya uwanja.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Shehe kwahiyo mlitaka fei aendeleee kukunya 3.2m na bado madalali wa timu wanataka kula hapo hapo sindio ?
 
Halafu Eng Hersi genius wala hakuhangaika kujibizana nae. Ndo ajue umuhimu wa shule na exposure.
 
nani amchukue kijana mwenye tabia mbaya anayetetewa hadi na rais wa nchi? kwa sasa hata wachezaji wa zanzibar tu watu watakuwa wanawaangalia kwa jicho lingine, wanajua wanaye mtetezi mwenye rungu la dola. wanini hao?
 
Halafu ulinifurahisha pale uliposema Engr Hersi Saidi akiondoka wewe unarudi Yanga siku hiyohiyo.
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga?

Huyo dogo analipwa mkwanja mrefu huko aliko, hilo la kurudi kwenye kula ugali na sukari ulimnukuu vibaya.

Tafuta hela acha majungu.
 
Angebaki afurahie kuingia robo fainali huku kipato chake binafsi kikiwa hafifu/duni?.
 
Mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga?

Huyo dogo analipwa mkwanja mrefu huko aliko, hilo la kurudi kwenye kula ugali na sukari ulimnukuu vibaya.

Tafuta hela acha majungu.
Oooh!! Naona mliomshauri na nyie mnateseka sana
 
Fei ana furaha na amani huko alipo kuliko alivyokuwa Yanga. Hayo mengine ni majungu na matamanio yako tu.
Labda hiyo furaha ya makaratasi. Dogo anajisikia Aibu sana tena sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…