Acha nongwa na u-move on,
Kwani hapo Yanga angecheza milele? Hao waliocheza miaka yote Hadi wakastaafu hapo Yanga wamepata Nini kikubwa
alitoa maneno yale akijua kuna rais atamsaidia, wazanzibar huwa wanasaidiana sana wao kwa wao hata kwenye mambo ya ajabu kama haya. aibu.Ajue tu kuwa laana huwa haitoki kwa waliokuzaa tu. Na Maadamu Mama yake alisema mwanae analishwa ugali kwa sukari hakika muda utafika katika maisha yake atakutana na hayo aliyotamkiwa na Mama yake.
Rai yangu atafute muda kimyakimya amtafute Engr Heris na Mzee Ghulam awaombe msamaha kwa maneno ya dhihaka aliyowatolea. Aombe msamaha kwa niaba yake mwenyewe na kwa niaba ya Mama yake pamoja na nyie mliompotosha na kutengeneza fitina ili tu kuikomoa Yanga.
Yeye hakusema kipato hilo ni lakwako. Yeye alisema hakuwa na furaha kucheza YangaKwa hiyo kutafuta kipato zaidi ni kosa? Acheni nongwa bhana, maisha yaendelee. Kila mtu anatafuta maisha siyo kufurahisha walimwengu huku ukilia na umasikini.
upande wa pili wanasema walimlipa pesa kwa mkupuo, yeye akala zote kabla mkataba wa kupeza zingien haujafika, sasa kipindi kile cha mpito akisubiri pesa nyingine alikuwa anataka aonewe huruma apewe pesa za bure? angekuwaje na furaha pesa wamekula kina Yezebeli?Yeye hakusema kipato hilo ni lakwako. Yeye alisema hakuwa na furaha kucheza Yanga
Ndo tunauliza unakosaje furaha kwenye klabu Yenye mafanikio zaidi nchini na kimataifa?
Maana kwa hapa Tanzania ili mchezaji ufanikiwe zaidi unatakiwa uchezee YANGA.
Alijichanganya sana.upande wa pili wanasema walimlipa pesa kwa mkupuo, yeye akala zote kabla mkataba wa kupeza zingien haujafika, sasa kipindi kile cha mpito akisubiri pesa nyingine alikuwa anataka aonewe huruma apewe pesa za bure? angekuwaje na furaha pesa wamekula kina Yezebeli?