NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Wazo zuriWewe ndo unaona yupo kimya. Wakili wake na Wakala wake walisema watafanya makubaliano na waliotoa michango kuwa ipelekwe kuchangia Msikiti au kanisa
Kwa hiyo wanaendelea kumchangia yeye au msikiti??Wewe ndo unaona yupo kimya. Wakili wake na Wakala wake walisema watafanya makubaliano na waliotoa michango kuwa ipelekwe kuchangia Msikiti au kanisa
Hatari sana.Suala kimeisha leo .....pesa zimeliwa CAS Jamaniii Azam washenzi sanaaa
We ulichanga au unataka kupanga matumizi kwenye hela za wenzako?Kwa hiyo wanaendelea kumchangia yeye au msikiti??
Kwa hiyo bado hawajastisha?? Wanaendelea kupokea.
Swala lake limeisha vipi mkuuWewe ndo unaona yupo kimya. Wakili wake na Wakala wake walisema watafanya makubaliano na waliotoa michango kuwa ipelekwe kuchangia Msikiti au kanisa
KUNA WATU WANTAMANI WARUDISHIWE HELA AO MANA WAMESHOBOKEA MAMBO WEEEE,MWISHO WA SIKU MCHEZAJI KACHAGUA KUKANDA NGANO🙄NALIA NGWENA nashangaa mpaka Sasa upo kilmya tu inamaana unafurahi kuona muamala wa watanzania unavyosoma.
Media zipo kimya hakuna tamko kutoka kwako suala la kwenda CAS halipo Tena.
Kupitia Mtandao huu wa Jamii Forums niwaombe watu wa karibu mumfikishie taarifa Feisal Salumu haraka iwezekanavyo asitishe michango kwani kwa kuendelea kufanya hivyo ni wizi /kufanya uongo wa wazi kwa watanzania.
Nawasilisha hoja.
Hatari sana [emoji16]KUNA WATU WANTAMANI WARUDISHIWE HELA AO MANA WAMESHOBOKEA MAMBO WEEEE,MWISHO WA SIKU MCHEZAJI KACHAGUA KUKANDA NGANO🙄
Kasepa na hela za wadau huyoWale mashabiki mbumbumbu waliokuwa wakijisifia humu kumchangia, waje sasa wajione ni kwa namna gani walikuwa empty heads.