NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
NALIA NGWENA nashangaa mpaka Sasa upo kilmya tu inamaana unafurahi kuona muamala wa watanzania unavyosoma.
Media zipo kimya hakuna tamko kutoka kwako suala la kwenda CAS halipo Tena.
Kupitia Mtandao huu wa Jamii Forums niwaombe watu wa karibu mumfikishie taarifa Feisal Salumu haraka iwezekanavyo asitishe michango kwani kwa kuendelea kufanya hivyo ni wizi /kufanya uongo wa wazi kwa watanzania.
Nawasilisha hoja.
Media zipo kimya hakuna tamko kutoka kwako suala la kwenda CAS halipo Tena.
Kupitia Mtandao huu wa Jamii Forums niwaombe watu wa karibu mumfikishie taarifa Feisal Salumu haraka iwezekanavyo asitishe michango kwani kwa kuendelea kufanya hivyo ni wizi /kufanya uongo wa wazi kwa watanzania.
Nawasilisha hoja.