Feisal Toto anarudi akilia na kubembeleza. Labda ameisahau Yanga

Feisal Toto anarudi akilia na kubembeleza. Labda ameisahau Yanga

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Wekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.

Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.

Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.

Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.

Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
 
Juzi tu mlishikwa naniliu na BM3 mpaka mkakimbiana halafu Leo, mnaongea kama mmekua Muumba vile.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri ni kwamba Feisal anaijua Yanga...
Wanamichezo wa Tanzania tuache ushamba ili soka liendelee nchini
 
Sasa hivi unajua huyo Morrison mnamlipa kiasi gani kwa mwezi?
 
Kijana kajitolea Sana kuipambania timu hata ilipokuwa kwenye wakati mgumu.

Kuliko Yanga kutunishiana misuli na katoto hako, wangemuachia aende salama na kwa amani ijapokuwa amekosea taratibu.

Wakumbuke kuwa anaweza kwenda huko halafu akatamani kurudi tena. Kama mmeachana vizuri atarudi lakini kama ni mambo ya kusokota kijana mdogo asisoma sheria ,zaidi anajua vifungu vya dini alivyosoma madrasa ni kujishushia heshima kama klabu kongwe
 
Unajua baada ya kurudi sasa hivi Morrison analipwa sh. milioni 23 kwa mwezi? Sasa hapo unaweza ukasema amepunguziwa au ameongezewa hela?
Acha ubwege wewe kumlipa mchezaji haijawahi kuwa tatizo kwa Yanga. Sisi pesa ipo and we pay. Sasa unaleta uswahili wako.

Morrison unajua mshahara wake wa mwanzo? Na kuna kitu nmeandika hapo mwanzo angalia soma kwa makini about morrison. Nakwambia Morrison kwa sasa amenyooka siyo yule ambaye alikuwa mkorofi.
 
Wekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.

Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.

Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.

Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.

Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
Mlipojitela nyie akili visoda ni kuweka kipengele cha kuuvunja mkataba kwa mil 100 na mishahara ya miezi 3,mkidhani hana ubavu wa kuvunja Mkataba kwa pesa hiyo,yaani mliona ni pesa nyiiiingi mlivyo masikini.

Hayo mengine ni dua la kuku tu.

Teh teh teh teh
 
Waafrika kuja kuendelea ni baadae sana imagine shabiki maandazi asie na mchango wowote sio kwenye timu tu hata kwenye maisha yake alafu anajitapa na uchawi mambo ya hovyo kabisa..

Ww ndio wale watu ukiona mtaani kwako jirani ana maisha unaanza kumchawia. Toto ana kipaji hawezi rudi yanga na kucheza kwa mshahara wa kijinga mwacheni dogo janja akatafute mafanikio yake
 
Back
Top Bottom