Feisal Toto anarudi akilia na kubembeleza. Labda ameisahau Yanga

Feisal Toto anarudi akilia na kubembeleza. Labda ameisahau Yanga

Bado tu mna mawazo ya kijinga Feisal yanga sio Mama yake wala Baba yake. Muacheni aamue hatma ya maisha yake!! Ngasa hadi leo anachekwa, kwa kukataa ofa nono Sudan ili aichezee yanga! Leo hii hata pesa ya kuingia uwanjani acheki mechi za yanga hana. Akitaka kuingia kwa kutumia jina na mapenzi yake kwa yanga, mabaunsa wanamzuia!! Hadi huruma! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti mimi hunijui wewe?! Jamani, wewe humjui Ngasa kweli?! Watu wanataka gademu money hayo mapenzi peleka Tanga!!
"Kama Mwanamke hakutaki, muache usimbake"
Afande Sele!

Hahaha gademu pesa .U know!
 
Fei toto mim nakushauri ondoka katafute maisha soka ni lamuda mfupi sana, hakuna aliestaafu kuichezea Yanga akawa na maisha mazuri utaishia kuwa mganga wa kienyeji.
 
Bado tu mna mawazo ya kijinga Feisal yanga sio Mama yake wala Baba yake. Muacheni aamue hatma ya maisha yake!! Ngasa hadi leo anachekwa, kwa kukataa ofa nono Sudan ili aichezee yanga! Leo hii hata pesa ya kuingia uwanjani acheki mechi za yanga hana. Akitaka kuingia kwa kutumia jina na mapenzi yake kwa yanga, mabaunsa wanamzuia!! Hadi huruma! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti mimi hunijui wewe?! Jamani, wewe humjui Ngasa kweli?! Watu wanataka gademu money hayo mapenzi peleka Tanga!!
"Kama Mwanamke hakutaki, muache usimbake"
Afande Sele!
[emoji2][emoji2][emoji2] eti unanijua mm, hata Yanga watakuwa wamemsahau.
 
Daah kwahiyo mtu kutafuta masilahi sehemu nyingine ni kosa kwa yanga au mimi ndo nimekosea kuelewa
 
Wekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.

Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.

Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.

Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.

Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu [emoji445][emoji445][emoji445]
 
Back
Top Bottom