Mwenye makosa ni huyo dogo. Akiwa ndani ya mkataba na klabu yake mpaka 2024, from nowhere anakubali kurubuniwa na matapeli, na hivyo kusitisha mkataba wake na klabu kinyume na kanuni/sheria za zilizowekwa na FIFA.
Kama alikuwa hana mahaba na Yanga, kwa nini alisaini mkataba wa kuichezea? Na kama aliona mshahara ni mdogo, kwa nini alikubali kusaini mkataba?
Na kama alikuwa anataka kuhamia timu nyingine, utaratibu unaotakiwa ni wa kuingiza hela kwenye klabu yako pasipo makubaliano, au timu husika ilitakiwa kukaa mezani na Yanga ili kumnunua?