Feitoto agoma kurudi Uto, ataka review ya hukumu ya TFF

Feitoto agoma kurudi Uto, ataka review ya hukumu ya TFF

Asijipotezee muda, aende CAS, hapo TFF kumejaa wanasiasa tu, ukiona watu wanapata kigugumizi siku mbili kutoa maamuzi, wakati kila kitu kipo wazi kwenye mkataba, ujue hamna maana hapo...

Ni kijiwe cha wahuni tu.
Sio kwamba anapoteza muda ila Wanasheria wake ni Mbumbumbu mno, Huwezi kukata rufaa au kuomba review kwenye mamlaka iliyotoa uamuzi. Ilitakiwa aombe mwenendo wa shauri ili aende kukata rufaa kwenye ngazi inayofuata yaani CAS. Halafu hata sababu ambazo Wanasheria wake wanazitumia katika ku-justify review ni za kilimbukeni zaidi. Huwezi kusema mchezaji hapendi tena kuchezea timu fulani, wanatakiwa wajikite kwenye masuala yaliyovunjwa kwenye Mkataba kati ya Yanga na Feisal.
 
Kiungo wa kimataifa wa Tanzania Feisali Salum Abdallah “Feitoto” amewasilisha juzi maombi yake kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF akitaka Kamati ya hadhi na haki za wachezaji na wanachama ipitie upya shauri lake na irekebishe hukumu yake na kumpa haki.

Feisali alivunja mkataba na Yanga SC tarehe 22/12/2022 kwa maandishi akitumia kipengele namba 14.7 cha mkataba baina yake na Yanga ambapo ilimpasa kuilipa klabu pesa ya usajili aliyopokea pamoja na mshahara wa miezi 3 tu.

Yanga SC walipinga jambo hilo na kulalamika TFF ambako lilipelekwa kwenye Kamati husika na shauri kusikilizwa hadi hukumu kutoka ambako Kamati ilimuamuru Feisali kubaki Yanga.

Mchezaji anaona Kamati haikufanya sawasawa na haikujielekeza kwenye hoja (issues) ambazo zililetwa mezani kwa pande zote mbili badala yake ilisema yeye anapaswa kurudi Yanga kitu haukuwa hoja.

Zaidi upande wa mchezaji wanaamini pia kwamba Kamati haikuwa sahihi kusema Feisali ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba ambao Fei ameuvunja na Yanga pia wanajua amevunja ila wao kama partners hawakushirikishwa na ndiyo hoja yao ilipo.

Walitegemea kamati ijielekeze kama namna alivyovunja mkataba Fei ilikuwa sahihi au sio sahihi.

Kama sahihi mkataba uvunjike na kama sio sahihi mchezaji aadhibiwe na sio kumlazimisha kurudi sehemu alikoshindwa kufanya kazi kwa sababu ambazo alizisema wazi mbele yao alipohojiwa.

Wanasisitiza mchezaji sio mtumwa wa kulazimishwa kufanyakazi mahala ambapo anaona mazingira yake magumu na sio rafiki tena.

Upande wa mchezaji wanalaumu kamati kushindwa kutoa adhabu kwenye hukumu yake kitu ambacho wanakiona pia sio cha kawaida kwa mtu aliyekosea, badala ya kumpa adhabu unamlazimisha kurudi alikoshindwa kuishi.

Wanahoji au kamati inaamini kumrudisha Yanga ni kumuadhibu pia?

Wana imani Kamati ina watu weledi, wajuzi wa mambo na wabobezi ambao wanazijua sheria, kanuni, taratibu zinazitumika na FIFA Dispute resolution chamber pamoja na CAS

My Take
Hivi huyu Feitoto ameondoka na figo ya Utopolo? Acheni roho ya kimasikini
Mpaka muda huu ubao wa matokeo unasoma hivi;
Yanga 3 - Fei Toto+Azam fc+Dubai fc+mashabiki wa Dubai
Fc+wachambuzi uchwara 0!
 
Kiungo wa kimataifa wa Tanzania Feisali Salum Abdallah “Feitoto” amewasilisha juzi maombi yake kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF akitaka Kamati ya hadhi na haki za wachezaji na wanachama ipitie upya shauri lake na irekebishe hukumu yake na kumpa haki.

Feisali alivunja mkataba na Yanga SC tarehe 22/12/2022 kwa maandishi akitumia kipengele namba 14.7 cha mkataba baina yake na Yanga ambapo ilimpasa kuilipa klabu pesa ya usajili aliyopokea pamoja na mshahara wa miezi 3 tu.

Yanga SC walipinga jambo hilo na kulalamika TFF ambako lilipelekwa kwenye Kamati husika na shauri kusikilizwa hadi hukumu kutoka ambako Kamati ilimuamuru Feisali kubaki Yanga.

Mchezaji anaona Kamati haikufanya sawasawa na haikujielekeza kwenye hoja (issues) ambazo zililetwa mezani kwa pande zote mbili badala yake ilisema yeye anapaswa kurudi Yanga kitu haukuwa hoja.

Zaidi upande wa mchezaji wanaamini pia kwamba Kamati haikuwa sahihi kusema Feisali ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba ambao Fei ameuvunja na Yanga pia wanajua amevunja ila wao kama partners hawakushirikishwa na ndiyo hoja yao ilipo.

Walitegemea kamati ijielekeze kama namna alivyovunja mkataba Fei ilikuwa sahihi au sio sahihi.

Kama sahihi mkataba uvunjike na kama sio sahihi mchezaji aadhibiwe na sio kumlazimisha kurudi sehemu alikoshindwa kufanya kazi kwa sababu ambazo alizisema wazi mbele yao alipohojiwa.

Wanasisitiza mchezaji sio mtumwa wa kulazimishwa kufanyakazi mahala ambapo anaona mazingira yake magumu na sio rafiki tena.

Upande wa mchezaji wanalaumu kamati kushindwa kutoa adhabu kwenye hukumu yake kitu ambacho wanakiona pia sio cha kawaida kwa mtu aliyekosea, badala ya kumpa adhabu unamlazimisha kurudi alikoshindwa kuishi.

Wanahoji au kamati inaamini kumrudisha Yanga ni kumuadhibu pia?

Wana imani Kamati ina watu weledi, wajuzi wa mambo na wabobezi ambao wanazijua sheria, kanuni, taratibu zinazitumika na FIFA Dispute resolution chamber pamoja na CAS

My Take
Hivi huyu Feitoto ameondoka na figo ya Utopolo? Acheni roho ya kimasikini
Endeleeni kumponza .....
 
Yusufu Bareksa mtoto wa bilionea ndiye yupo nyuma ya Feisal ndio maana Feisal anapata Kiburi.
Mwishowake Feisal mpira utamshinda na ata ajiliwa kama Dereva katika Moja ya makampuni ya Azam hivi ndivyo maranyingi hutokea.
Tuone sasa hiyo jeuri yake ya pesa kama ina uwezo wa kushindana na Wananchi wa Tanzania.
 
Hivi kwann mnaendeshwa na mahaba hata sehemu zisizostahiki.

Yaani unakubali kuwa hakuvunja mkataba kihalali hivyo aadhibiwe lakini unasahau kuwa mkataba usiovunjwa kihalali Ni mkataba usiovunjwa.

Unakubali kabisa FEI anastahili kuadhibiwa ila unalazimisha kuwa mkataba umevunjwa. Sasa kama kavunja mkataba kwa hivyo vifungu vyako unavyotaka kwann unataka aadhibiwe?

We unajua mambo ya mikataba hivi kweli?

Umewahi kupanga nyumba? Kwahiyo mwenye nyumba anaweza kuamka asubuhi tu akakutolea vitu nje na Kisha kusema kavunja mkataba alafu serekali ya mtaa au ukienda mahalamani waseme ni kweli mwenye nyumba alikosea hakuvunja mkataba vizuri kwa hiyo anaadhibiwa kulipa fine ila wewe utajijua huko uliko kama vitu viko barabarani au chini ya mti haijalishi mradi ameshaadhibiwa kulipa fine

Hebu eleweni kitu kimoja aisee MKATABA USIOVUNJWA KIHALALI NI MKATABA USIOVUNJWA NA UNAENDELEA VILE VILE ULIVYOKUWA.

Mnamdanganya huyu mtoto, mtaharibu future yake. Nyie mko makwenu na makazini kwenu mnamdanganya huyu dogo wakati mpira ndio kazi yake
 
... hivi Yanga wamemkosea nini huyu kijana? Mbona alikuwa anawabeba sana; nini kimetokea ghafla wameshindwana?
Mwenye makosa ni huyo dogo. Akiwa ndani ya mkataba na klabu yake mpaka 2024, from nowhere anakubali kurubuniwa na matapeli, na hivyo kusitisha mkataba wake na klabu kinyume na kanuni/sheria za zilizowekwa na FIFA.

Kama alikuwa hana mahaba na Yanga, kwa nini alisaini mkataba wa kuichezea? Na kama aliona mshahara ni mdogo, kwa nini alikubali kusaini mkataba?

Na kama alikuwa anataka kuhamia timu nyingine, utaratibu unaotakiwa ni wa kuingiza hela kwenye klabu yako pasipo makubaliano, au timu husika ilitakiwa kukaa mezani na Yanga ili kumnunua?
 
Hoja ipi na ashaambiwa akiona hajatendewa haki aende CAS?
Je kama kuomba marejeo ndiyo sehemu ya hatua za kwenda CAS? Kamati inakumbushwa kujikita kwa hoja iliyokuwepo ambayo ni Je uvunjaji wa mkataba ulifuata taratibu ama la? Na kama alivunja mkataba bila taratibu kufuatwa basi aadhibiwe kwa kosa hilo.Kumlazimisha kurudi Yanga siyo sehemu ya hoja iliyopelekwa mbele ya Kamati.
 
Mwenye makosa ni huyo dogo. Akiwa ndani ya mkataba na klabu yake mpaka 2024, from nowhere anakubali kurubuniwa na matapeli, na hivyo kusitisha mkataba wake na klabu kinyume na kanuni/sheria za zilizowekwa na FIFA.

Kama alikuwa hana mahaba na Yanga, kwa nini alisaini mkataba wa kuichezea? Na kama aliona mshahara ni mdogo, kwa nini alikubali kusaini mkataba?

Na kama alikuwa anataka kuhamia timu nyingine, utaratibu unaotakiwa ni wa kuingiza hela kwenye klabu yako pasipo makubaliano, au timu husika ilitakiwa kukaa mezani na Yanga ili kumnunua?
Utopolo ni kikundi cha wachawi ndo kilicho sababisha mpaka sasa ngasa ni masikini baada ya kuharibu dili ambalo linge mpatia milion 300
 
Je kama kuomba marejeo ndiyo sehemu ya hatua za kwenda CAS? Kamati inakumbushwa kujikita kwa hoja iliyokuwepo ambayo ni Je uvunjaji wa mkataba ulifuata taratibu ama la? Na kama alivunja mkataba bila taratibu kufuatwa basi aadhibiwe kwa kosa hilo.Kumlazimisha kurudi Yanga siyo sehemu ya hoja iliyopelekwa mbele ya Kamati.
Ingekuwa sheria na mikataba vinaendeshwa kwa maoni yako basi hii dunia isingekuwa sehemu Salama ya kuishi.

Rage alikuwa sahihi sana kuwaita mbumbumbu na kwenye hili amejitenga na mambumbumbu na amesema wazi Fei Toto hata aende CA's ni wasting of money hakuna anapoweza kushinda.

Nadhani Mambumbumbu mnamjuwa vizuri Rage kwenye sheria za mpira yuko vizuri kiasi gani, watu wenye akili huwa tunasikiliza maoni ya prominent figure kama Rage na siyo wanywa wanzuki waliomka na hangover ya smart.
 
Kiungo wa kimataifa wa Tanzania Feisali Salum Abdallah “Feitoto” amewasilisha juzi maombi yake kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF akitaka Kamati ya hadhi na haki za wachezaji na wanachama ipitie upya shauri lake na irekebishe hukumu yake na kumpa haki.

Feisali alivunja mkataba na Yanga SC tarehe 22/12/2022 kwa maandishi akitumia kipengele namba 14.7 cha mkataba baina yake na Yanga ambapo ilimpasa kuilipa klabu pesa ya usajili aliyopokea pamoja na mshahara wa miezi 3 tu.

Yanga SC walipinga jambo hilo na kulalamika TFF ambako lilipelekwa kwenye Kamati husika na shauri kusikilizwa hadi hukumu kutoka ambako Kamati ilimuamuru Feisali kubaki Yanga.

Mchezaji anaona Kamati haikufanya sawasawa na haikujielekeza kwenye hoja (issues) ambazo zililetwa mezani kwa pande zote mbili badala yake ilisema yeye anapaswa kurudi Yanga kitu haukuwa hoja.

Zaidi upande wa mchezaji wanaamini pia kwamba Kamati haikuwa sahihi kusema Feisali ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba ambao Fei ameuvunja na Yanga pia wanajua amevunja ila wao kama partners hawakushirikishwa na ndiyo hoja yao ilipo.

Walitegemea kamati ijielekeze kama namna alivyovunja mkataba Fei ilikuwa sahihi au sio sahihi.

Kama sahihi mkataba uvunjike na kama sio sahihi mchezaji aadhibiwe na sio kumlazimisha kurudi sehemu alikoshindwa kufanya kazi kwa sababu ambazo alizisema wazi mbele yao alipohojiwa.

Wanasisitiza mchezaji sio mtumwa wa kulazimishwa kufanyakazi mahala ambapo anaona mazingira yake magumu na sio rafiki tena.

Upande wa mchezaji wanalaumu kamati kushindwa kutoa adhabu kwenye hukumu yake kitu ambacho wanakiona pia sio cha kawaida kwa mtu aliyekosea, badala ya kumpa adhabu unamlazimisha kurudi alikoshindwa kuishi.

Wanahoji au kamati inaamini kumrudisha Yanga ni kumuadhibu pia?

Wana imani Kamati ina watu weledi, wajuzi wa mambo na wabobezi ambao wanazijua sheria, kanuni, taratibu zinazitumika na FIFA Dispute resolution chamber pamoja na CAS

My Take
Hivi huyu Feitoto ameondoka na figo ya Utopolo? Acheni roho ya kimasikini
Hizi taarifa za ndani sanaa🤣🤣🤣
 
Mwenye makosa ni huyo dogo. Akiwa ndani ya mkataba na klabu yake mpaka 2024, from nowhere anakubali kurubuniwa na matapeli, na hivyo kusitisha mkataba wake na klabu kinyume na kanuni/sheria za zilizowekwa na FIFA.

Kama alikuwa hana mahaba na Yanga, kwa nini alisaini mkataba wa kuichezea? Na kama aliona mshahara ni mdogo, kwa nini alikubali kusaini mkataba?

Na kama alikuwa anataka kuhamia timu nyingine, utaratibu unaotakiwa ni wa kuingiza hela kwenye klabu yako pasipo makubaliano, au timu husika ilitakiwa kukaa mezani na Yanga ili kumnunua?
... shukran kwa ufafanuzi. Changamoto nyingine za wachezaji wetu hawa ni shule na uelewa mdogo. Sina hakika kama alipokuwa anasaini huo mkataba alifahamu maana na atahri zake sembuse hata kuusoma na kuuelewa kabla ya kusaini.
 
Back
Top Bottom