Feitoto agoma kurudi Uto, ataka review ya hukumu ya TFF

Feitoto agoma kurudi Uto, ataka review ya hukumu ya TFF

Watu tunajadili mambo ya msingi, wewe unaleta story za uchawi! Huku ukisahau ni mwaka wa jana tu timu yako ya simba ilipigwa faini ya dola elfu 10 na CAF kutokana na vitendo vyake vya kishirikina uwanjani kule Afrika ya Kusini.

Halafu aliyekuambia Mrisho Ngasa ni maskini ni nani? Na kuna uhusiano gani wa huo umaskini wake na hilo dili la milioni 300?

Yaani mtu achezee Kagera Sugar, Yanga, Azam, simba, Afrika ya Kusini, Ndanda, nk tangu 2004 huko! Halafu from nowhere tu awe maskini kwa sababu alibaniwa dili la milioni 300!

Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu.
Sasa ngasa ana maisha gani ? Mpaka anakosa hela ya kulipia kuingia uwanjani anarazimisha aingie kwa kutumia jina lake.
Hata yy ngasa alisha lijutia hilo na aliwashauri wachezaji waangalie maslahi yao badala ya kuwafurahisha mashabiki uchwara kama nyinyi.

Ww unaona million 300 unaiona ni ndogo kwani hapo utopoloni ngasa alikuwa analipwa hela gani ambayo ingeweza kubalisha maisha yake?

Utopolo ni kikundi cha wachawi maana mchawi kazi yake kubwa huwa ni kurudisha watu nyuma kimaendeleo.
 
Huyu keshapotea tayari. Na Yanga wameshaanza kumsahau. Ni kama mtu Ukishakuwa, wakishakuzika ndiyo biashara Inakuwa imeisha.
 
... shukran kwa ufafanuzi. Changamoto nyingine za wachezaji wetu hawa ni shule na uelewa mdogo. Sina hakika kama alipokuwa anasaini huo mkataba alifahamu maana na atahri zake sembuse hata kuusoma na kuuelewa kabla ya kusaini.
Hapana mkuu kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa fei unaruhusu kufanya alicho kifanya sema hili jambo hina amuliwa kisiasa ila fei yuko sawa.

Kipengele cha mkataba kinasema iwapo fei toto atataka kuvunja mkataba bila sababu za msingi atatakiwa kuilipa yanga sh million 100 na mishahara yake ya miezi mitatu na tiyari amesha fanya hivyo.

Hili jambo lina amuliwa kisiasa kwa sababu ndani ya hizo kamati za maamuzi wamejaa mashabiki wa Yanga na Simba ila Fei yuko sawa.
 
Hapana mkuu kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa fei unaruhusu kufanya alicho kifanya sema hili jambo hina amuliwa kisiasa ila fei yuko sawa.

Kipengele cha mkataba kinasema iwapo fei toto atataka kuvunja mkataba bila sababu za msingi atatakiwa kuilipa yanga sh million 100 na mishahara yake ya miezi mitatu na tiyari amesha fanya hivyo.

Hili jambo lina amuliwa kisiasa kwa sababu ndani ya hizo kamati za maamuzi wamejaa mashabiki wa Yanga na Simba ila Fei yuko sawa.
Mimi nadhani maamuzi sahihi ni yeye kwenda ngazi ya juu zaidi (CAS) kama anaona kaonewa ili akapate haki yake huko.
 
Je kama kuomba marejeo ndiyo sehemu ya hatua za kwenda CAS? Kamati inakumbushwa kujikita kwa hoja iliyokuwepo ambayo ni Je uvunjaji wa mkataba ulifuata taratibu ama la? Na kama alivunja mkataba bila taratibu kufuatwa basi aadhibiwe kwa kosa hilo.Kumlazimisha kurudi Yanga siyo sehemu ya hoja iliyopelekwa mbele ya Kamati.
Kwaiyo kwa akili yako finyu unategemea kamati ibadili uamuzi wake wa awali? Wangekuwa na akili wangeenda moja kwa moja uko CAS baada ya kupewa nakala ya hukumu lakini kuomba review ya kesi ni ujinga mwingine unaofanywa na wanaojiita wanasheria wake ili waendelee kuzitafuna hizo pesa za bure
 
Hapana mkuu kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa fei unaruhusu kufanya alicho kifanya sema hili jambo hina amuliwa kisiasa ila fei yuko sawa.

Kipengele cha mkataba kinasema iwapo fei toto atataka kuvunja mkataba bila sababu za msingi atatakiwa kuilipa yanga sh million 100 na mishahara yake ya miezi mitatu na tiyari amesha fanya hivyo.

Hili jambo lina amuliwa kisiasa kwa sababu ndani ya hizo kamati za maamuzi wamejaa mashabiki wa Yanga na Simba ila Fei yuko sawa.
Dah; kuanzia vyama vya mpira, vilabu, wachezaji, hadi mpira wa nchi hii pasua kichwa! To say the least.
 
Hapana mkuu kwa mujibu wa vipengele vya mkataba wa fei unaruhusu kufanya alicho kifanya sema hili jambo hina amuliwa kisiasa ila fei yuko sawa.

Kipengele cha mkataba kinasema iwapo fei toto atataka kuvunja mkataba bila sababu za msingi atatakiwa kuilipa yanga sh million 100 na mishahara yake ya miezi mitatu na tiyari amesha fanya hivyo.

Hili jambo lina amuliwa kisiasa kwa sababu ndani ya hizo kamati za maamuzi wamejaa mashabiki wa Yanga na Simba ila Fei yuko sawa.
Kwa hiyo unaufahamu mkataba wa Fei Toto na Yanga kuanzia mwanzo mpaka mwisho!

Kama kuna hicho kipengele cha kumruhusu kuondoka kienyeji tu; unataka kuaminisha watu ya kwamba, Yanga wana ugomvi na huyo dogo mpaka wamrudishie hizo pesa zake alizoweka kwenye akaunti ya klabu, na kwenda kumshtaki TFF?
 
Yusufu Bareksa mtoto wa bilionea ndiye yupo nyuma ya Feisal ndio maana Feisal anapata Kiburi.
Mwishowake Feisal mpira utamshinda na ata ajiliwa kama Dereva katika Moja ya makampuni ya Azam hivi ndivyo maranyingi hutokea.
Dogo havimbi bure bure kwa taarifa yako mpunga wa usajili wake alishawekewa kitambo sana na hizo za kuendesha kesi tayari zimeandaliwa wewe ukimwaga mboga watu wanamwaga ugali, ukiujua ule sisi twaujua ule.
 
Dogo havimbi bure bure kwa taarifa yako mpunga wa usajili wake alishawekewa kitambo sana na hizo za kuendesha kesi tayari zimeandaliwa wewe ukimwaga mboga watu wanamwaga ugali, ukiujua ule sisi twaujua ule.
Yaani utafikiri Feisal ni mchezaji anayeweza kucheza mpira peke yake Africa nzima hakuna
 
Sio kwamba anapoteza muda ila Wanasheria wake ni Mbumbumbu mno, Huwezi kukata rufaa au kuomba review kwenye mamlaka iliyotoa uamuzi. Ilitakiwa aombe mwenendo wa shauri ili aende kukata rufaa kwenye ngazi inayofuata yaani CAS. Halafu hata sababu ambazo Wanasheria wake wanazitumia katika ku-justify review ni za kilimbukeni zaidi. Huwezi kusema mchezaji hapendi tena kuchezea timu fulani, wanatakiwa wajikite kwenye masuala yaliyovunjwa kwenye Mkataba kati ya Yanga na Feisal.
Sasa kama Justification zao ni za kipuuzi ko hiyo kamati imetumia busara au imefanya maamuzi ya kumrudisha Fei Yanga pasi na adhabu yeyote kwa uvunjifu wa sheria?.
 
Huyu keshapotea tayari. Na Yanga wameshaanza kumsahau. Ni kama mtu Ukishakuwa, wakishakuzika ndiyo biashara Inakuwa imeisha.
Wewe acha wenge... Ko unadhani wewe kwamba Fei akisahaulika vichwani mwa wala mihogo ndo mpira wake umeisha?...
 
Roho mbaya ya viongozi iliyomfikisha hapo Feisal.

Morrison naskia anapokea 23M halafu kwa mwezi anacheza mechi mbili nazo hizo anatokea sub hachezi dakika 60

Aziz Ki inadaiwa anapokea 26M ila at least huyu anacheza mechi nyingi japokuwa kihalisia yeye na Feisal kwenye ubora sioni utofauti.

Hao wote wamemzidi Feisal mara 7 mshahara, is that fair?
Kumbe na ww ubongo wako umetikisika, alilazimishwa kusaini huo mkataba? Kwa nn alisaini huku akijua wenzake wanalipwa zaidi?
 
Yaani utafikiri Feisal ni mchezaji anayeweza kucheza mpira peke yake Africa nzima hakuna
Yani wamevurugwa mbaya mbovu utadhani anatakakuondoka na nyota ya timu... Yani kwa hili sakata kama naanza kumuelewa Msuva ni kwanini aligoma kurudi kundini haya ndo huenda ni mambo ya nyuma ya pazia aliyaona pia.
 
Back
Top Bottom