Feitoto akibusu picha ya Rais Samia

Feitoto akibusu picha ya Rais Samia

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Mchezaji wa klabu ya Azam Fc, Feisal Salum "FeiToto" ameonekana akiibusu picha rasmi ya Rais Samia Suluhu Hassan tendo ambalo wengi wamelitafsiri kama shukrani kwa Rais Samia.

Ipi tafsiri yako kwa tendo hili.

 
mm mbona ni kama naww emewaza huko mkuu au
Apana! Sijafikiria Katika angle hyo ila nimewaza labda fei kaamua kubusu picha ya aunt sa100 kama ishara ya kutambua mchango wake kwenye usuluhishi wa mgogoro wa kimkataba
 
Injinia Feisal inabidi aje kumrithi Rais Mwinyi akimaliza kipindi chake. Kaonyesha ushupavu tunaouhitaji kwa Jemedari Mkuu.
 
Back
Top Bottom