Mchezaji wa klabu ya Azam Fc, Feisal Salum "FeiToto" ameonekana akiibusu picha rasmi ya Rais Samia Suluhu Hassan tendo ambalo wengi wamelitafsiri kama shukrani kwa Rais Samia.
Ipi tafsiri yako kwa tendo hili.
View attachment 2650953
AccreditationMchezaji wa klabu ya Azam Fc, Feisal Salum "FeiToto" ameonekana akiibusu picha rasmi ya Rais Samia Suluhu Hassan tendo ambalo wengi wamelitafsiri kama shukrani kwa Rais Samia.
Ipi tafsiri yako kwa tendo hili.
View attachment 2650953
mkuu mbona kama nawewe umewaza auTusubiri wanaowaza ushetani waje..
mm mbona ni kama naww emewaza huko mkuu auTuombe Mungu wale wa kuanza kuwaza mambo ya mashangazi wasije pita hapa! hawachelewagi kuharibu hali ya hewa
Apana! Sijafikiria Katika angle hyo ila nimewaza labda fei kaamua kubusu picha ya aunt sa100 kama ishara ya kutambua mchango wake kwenye usuluhishi wa mgogoro wa kimkatabamm mbona ni kama naww emewaza huko mkuu au