Feitoto ana gundu kuachwa tena Stars?

Binadamu huvuna alichopanda
 
Wazungu hawanaga ubabaishaji..hawa watoto, fey na mkude ni viburi na wasaliti. Hivyo huwezi kuambatana na mtu kiburi na mwenye usaliti.
Kama mfanyakazi tena wa chini kabisa, anathubutu kusema Rais akiondoka mimi nitarudi kufanya kazi, unategemea mtu wa ainahii hatakama ni mtoto anaakili sawasawa kweli?
Acha aendelee kula askilim na kulipwa huo mshala wake mkubwa aliokua anautaka.
 
Simba na yanga ni madrid na Barcelona za Tanzania,........ Tafakari!!!!! mengine utajiongeza sio lazima kila kitu ufundishwe kwenye hii dunia.
Na nyongeza ya hapo, mpira wa Tanzania ni Simba na Yanga. Ukiwatunishia misuli ujue humtunishii Hersi au Try again
 
Anasemaga Oscar elewa neno "Wazee"
 
feitoto alikuwa overrated, na alijiamini kwamba yeye ndio yeye bila yeye hakuna mafanikio, kumbe ni mla urojo tu. aende akatetewe na sa100 tena, atoe maelekezo wamuweke kwenye kikosi cha taifastars. mpira wake ndio umeishia hapo. anajua kupiga mashuti tu hana hana uwezo wa kutosha.
 
Aitwe kwa mpira upi?
 
Kwa watu walioangalia mechi za Azam hawatashangaa hata kidogo. Ameonesha uwezo mdogo sana, na nadhani pia anampa wakati mgumu sana kocha wa Azam. Hata huko nahisi kocha atakuwa ameambiwa ni lazima acheze. Apambane kuinua kiwango tu.
Well said.
 
Yule dogo alikuwa na wivu baada ya kuja Ki Azizi huku akilipwa mshahara mkubwa kuliko yeye, wakati vilabu vyote vya mpira duniani mishara ya wachezaji haifanani, unaweza ukawa na kiwango Bora na mwenzio akawa na kiwango duni lkn bado akakuzidi mshahara kutokana na mkataba mliokubaliana.
 
Yanga alikua anashindia ugali na sukari, Azam anashindia Ice Cream, soudage, chapati na mapochopocho mengine, kwanini asiongezeke uzito?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…