Mpeni muda. Inaonekana kafakamia sana urojo mpaka kawa soft. Anatakiwa kupunguza kilo kadhaa na mazoezi makali ya viungo. He will be OK; I hopeMajuto mjukuuView attachment 2713027
Mzee Mpili alishafanya yakeNataka mshahara kama wa azizi kiki ,mwenzio dk 20 zimetosha kuamua mechi , we dk 90 zote unaruka ruka kiwanjani!
kuna msemo wa wahenga usiteme big g kwa karanga za kuonjeshwa
future yako iko rehani ,huko uliko hakuna mashabiki wa kukusifia kama ilivyo kua ukiwa yanga ,ki uhalisia hukua na maajabu[emoji1]
Ngoja tutaona timu yako kama hamjaweka ulinzi mkali na nyieHuyo Dabo hamna kocha kwanza kaingia na uwoga kuweka ulinzi usiokuwa na faida.
hana akili,hajasoma,upumbavu wake hajui hata kufuatilia historia,kuna mchezaji aliyetoka yanga na kwenda timu pinzani akakamia kupambana na yanga akafanikiwa?Nataka mshahara kama wa azizi kiki ,mwenzio dk 20 zimetosha kuamua mechi , we dk 90 zote unaruka ruka kiwanjani!
kuna msemo wa wahenga usiteme big g kwa karanga za kuonjeshwa
future yako iko rehani ,huko uliko hakuna mashabiki wa kukusifia kama ilivyo kua ukiwa yanga ,ki uhalisia hukua na maajabu[emoji1]
Kwa pira lile la jana Azam bora wangebaki na Ongala tu.Kocha hamna hapo Azam,Hana mbinu mbadala dakika tano za Mwisho unapigwa chuma mbili,halafu ushaona wapi mabeki wa Tatu wa kibongo wanakupa ushindi halafu unawaweka benchi kipa wa kimataifa pamoja na mabeki wa Kati wenye uzoefu...halafu utegemee kushinda.
Azam wanapoteza pesa kuleta makocha wasiojielewa timu imezidiwa dakika kuanzia ya 60 na haufanyi sub,unafanya sub dakika za Mwisho ujinga mtupu.
Huyo Dabo hamna kocha kwanza kaingia na uwoga kuweka ulinzi usiokuwa na faida.