Isolated
JF-Expert Member
- Jul 12, 2022
- 212
- 363
Nataka mshahara kama wa Azizi KI, mwenzio dk 20 zimetosha kuamua mechi, Wewe dk 90 zote unaruka ruka kiwanjani!
Kuna msemo wa wahenga usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
Future yako iko rehani, huko uliko hakuna mashabiki wa kukusifia kama ilivyokuwa ukiwa Yanga, kiuhalisia hukuwa na maajabu😄
Kuna msemo wa wahenga usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
Future yako iko rehani, huko uliko hakuna mashabiki wa kukusifia kama ilivyokuwa ukiwa Yanga, kiuhalisia hukuwa na maajabu😄