Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Wewe ambaye huitaji microscope watajie ni timu gani hiyo?Ni dhahiri kuwa kuna timu ilifanya mawasiliano na mchezaji mwenye mkataba kinyume na kanuni, hata hili linahitaji microscope TFF kuliona?