Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,874
Hata ishu ya Thomas partey kwenda Arsenal,Mwanasheria ameeleza vizuri hapo, kwa kuwa bado hujaelewa tukupe mfano mwepesi, Halaand amechukuliwa na City kwa kutumia sheria hiyo hiyo ya Release clause, mkifanikiwa kulipa Release clause hamuhitaji maongezi yoyote ya ziada na team ambayo mchezaji alikuwa anacheza.
Yanga wanune wazile ile Fei toto ndio ameshaondoka kwa pesa ndogo tu sababu ya ubahili wao.
haya ndo maelezo pekee niliyokuwa nayahitaji kuyasikia.Nimesikia mwanasheria na uongozi wa Yanga wanasema Feitoto hajafuata utaratibu uliopo kwenye kanuni za FIFA za kuvunja mkataba ambapo mchezaji ili avunje mkataba lazima kuwe na just cause (reasonable cause).
Kitu ambacho tunatakiwa tujue ni kwamba kanuni za FIFA siyo alfa na Omega bali zinatoa minimum standards tu, nadhani wanasheria wenzangu mtakubaliana na mimi, hii ipo hata kwenye sheria za kawaida za kazi hazielezi kila kitu exactly bali zinatoa minimum standards (viwango vya chini) ambavyo havitakiwi kuvukwa.
Kuweka kigezo cha ili upande mmoja uvunje mkataba lazima kuwe na just cause lengo ni kulinda mikataba ya wachezaji ili isivunjwe hovyo, kwakuwa hiyo ni minimum requirement haizuii timu na mchezaji kuboresha na Kuja na terms bora zaidi kwa ajili ya kulinda zaidi mikataba ya wachezaji.
Na katika kufanya hivyo ndiyo maana Yanga na Feitoto katika mkataba wao wakaweka masharti iwapo mchezaji atataka kuvunja mkataba bila sababu ya msingi arudishe signing fees na mishahara ya miezi 3.
Mawakili wa Yanga hawakuweka kipengele hiki kwa bahati mbaya bali lengo lilikuwa ni kuset higher standards than those under FIFA rules ili kulinda maslahi yao kama timu kwa kuzuia mikataba kuvunjwa hovyo. Pia ilikuwa ni higher standard kumpa freedom of movement mchezaji aweze kuvunja mkataba bila kuwa na just cause ila tu kwa kulipa amount fulani ya pesa, favorable terms kwa weak party au zinazoraise standard zinaruhusiwa kisheria
Kwa mujibu wa kanuni za FIFA mchezaji anapovunja mkataba kukiwa na just cause hatakiwi kulipa fidia au pesa ya aina yoyote ile, hivyo kwa tafsiri ya haraka haraka hakukuwa na haja ya kumtaka mchezaji alipe fidia pale anapovunja mkataba for just cause hivyo ni wazi kipengele cha kwenye mkataba wa Yanga na Feitoto kumtaka alipe milioni 112, kililenga kutumika pale anapokuwa hana sababu ya msingi.
Sasa kama mchezaji amefuata mkataba unavyotaka haiwezekani akawa subjected tena kwenye minimum standards za FIFA wakati ametekeleza maximum standards zilizomo ndani ya mkataba.
Mwisho nimeona mwanasheria wa Yanga anasema bado Feitoto ni mchezaji wa Yanga kwa kuwa hajafuata utaratibu, huo ni upotoshaji.
Kwa uelewa wangu wa sheria termination of contract/kuvunja mkataba ni kufanya mkataba ufike mwisho, hata kama itagundulika kwamba Feitoto hajafuata taratibu katika kuvunja mkataba bado haimaanishi mkataba haujavunjika la hasha.
Itakuwa ni unlawful termination ambayo kwa mujibu wa ibara ya 17 ya kanuni za FIFA mchezaji anaweza kupigwa sanctions na Yanga wanaweza kulipwa fidia lakini kanuni za FIFA hazitoi remedy wa kumlazimisha mchezaji aliyevunja mkataba kimakosa kurudi kuichezea timu yake.
Hivyo siyo Sawa kwa mwanasheria wa Yanga kusema Feitoto bado ni mchezaji wa Yanga whether alifuata utaratibu au la katika kuvunja mkataba.
Ndimi Wakili Zawadi B Lupelo
wameshamtakia kila la kheri, furahini na roho zenu.Nmecheka eti katika mkataba wao hakuna kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] yan mkataba usiwe na kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo 112m ni ya nn sasa? kwahiyo fei kaamka tu kaenda bank kudeposit 112m tu kwanini isiwe 23m 75m au 98m. kwa sababu kuna kipengele cha kuvunja na sharti ni signing fee irudishwe na mshahara wa miezi 3.
Nadhani yanga walidhani kibongo bongo hakuna mchezaji ataweza kutoa hiyo 100m kulipa kuvunja mkataba. Waamke mambo amebadilika. Halafu waache kuwaadaa mashabiki. Wamtakie kila la kheri maisha mzunguko iko siku atarejea.
yanga wanyonyaji, dogo alikuwa anapewa pesa ndogo sana SEMA ule upenzi wa klabu ndo ulimweka hapoDogo kawachoka
Hizo fedha katoa Azam, tunajuaNmecheka eti katika mkataba wao hakuna kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] yan mkataba usiwe na kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo 112m ni ya nn sasa? kwahiyo fei kaamka tu kaenda bank kudeposit 112m tu kwanini isiwe 23m 75m au 98m. kwa sababu kuna kipengele cha kuvunja na sharti ni signing fee irudishwe na mshahara wa miezi 3.
Nadhani yanga walidhani kibongo bongo hakuna mchezaji ataweza kutoa hiyo 100m kulipa kuvunja mkataba. Waamke mambo amebadilika. Halafu waache kuwaadaa mashabiki. Wamtakie kila la kheri maisha mzunguko iko siku atarejea.
Bado Yanga na masahabiki wao wanaamini mchezaji naye ni shabiki, mchezaji yuko kazini ikiwa analipwa milioni akapatikana mwajiri wa kutoa 3 lazima mtu atimke. Wanapooza tu upepo wa mashabiki kwa kuwadanganya eti milioni 112 imerudishwa kwa Feitoto, waweke na deposting slip hadharani ili tuamini. Wasiwadanganye mashabiki wao eti mazungumzo yalikuwa yanaendelea wakimshirikisha mamake Fei. Mamake FEI ndo hataki kuhama Fuoni na kwenda kuishi kwenye upepo tulivu wa FUMBA TOWN thubutu. Kina Ally Kamwe wajifunze kuheshimu wakubwa zao, leo aje basi awaambie mashabiki, wapenzi na wanachama wa Yanga kuwa FEI Kwenda Azam ataenda kupanda boat kwa ajili ya kwenda ZNZ lakini si kuchezea timu ya wauza ukwaju.Nmecheka eti katika mkataba wao hakuna kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] yan mkataba usiwe na kipengele cha kuvunja [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo 112m ni ya nn sasa? kwahiyo fei kaamka tu kaenda bank kudeposit 112m tu kwanini isiwe 23m 75m au 98m. kwa sababu kuna kipengele cha kuvunja na sharti ni signing fee irudishwe na mshahara wa miezi 3.
Nadhani yanga walidhani kibongo bongo hakuna mchezaji ataweza kutoa hiyo 100m kulipa kuvunja mkataba. Waamke mambo amebadilika. Halafu waache kuwaadaa mashabiki. Wamtakie kila la kheri maisha mzunguko iko siku atarejea.
Ishi ya Haaland haiendani kabisa na hii acha kufananisha vitu.Mwanasheria ameeleza vizuri hapo, kwa kuwa bado hujaelewa tukupe mfano mwepesi, Halaand amechukuliwa na City kwa kutumia sheria hiyo hiyo ya Release clause, mkifanikiwa kulipa Release clause hamuhitaji maongezi yoyote ya ziada na team ambayo mchezaji alikuwa anacheza.
Yanga wanune wazile ile Fei toto ndio ameshaondoka kwa pesa ndogo tu sababu ya ubahili wao.
Bado mkuu unaongea nadharia hiyo notice alitoa lini?Mazungumzo ya nini kama alishawapa notice before kuvunja mkataba Yanga ndio ilibidi imfuate Feisal kuomba mazungumzo. Hadi amefikia kuvunja mkataba hajakurupuka kuna watu behind walisoma kile kipengele cha mkataba na wakajiridhisha yuko sahihi kufanya kilichofanyika.
Kwahiyo unadumbukiza Hela kwenye account unasepa zako without notice πππ acha kuchekeshaKulipa hela ndio condition, hakuna sehemu yanapotajwa mazungumzo
So dortmund hawajapata pesa yoyote toka kwa man city sababu ya hiyo release clause,jamaa uwa mnatumia akili kweli au mmetanguliza mapenzi,Yanga si kama haitaki fei aondoke ila taratibu zifuatwe,kama taratibu za release clause ndio ziko hivyo asubuhi tu mchezaji anaamka na kurudisha signing fee ingekua vurugu basi!Mwanasheria ameeleza vizuri hapo, kwa kuwa bado hujaelewa tukupe mfano mwepesi, Halaand amechukuliwa na City kwa kutumia sheria hiyo hiyo ya Release clause, mkifanikiwa kulipa Release clause hamuhitaji maongezi yoyote ya ziada na team ambayo mchezaji alikuwa anacheza.
Yanga wanune wazile ile Fei toto ndio ameshaondoka kwa pesa ndogo tu sababu ya ubahili wao.
Ulianza na mazungumzo, umehamia kwenye notice. Yanga walijuaje kuwa hizo hela alizodeposit Fei ni kwa ajili ya kuvunja mkataba? πππ acha kuchekeshaKwahiyo unadumbukiza Hela kwenye account unasepa zako without notice πππ acha kuchekesha
Walijuaje bila notice? Haaa haaaUlianza na mazungumzo, umehamia kwenye notice. Yanga walijuaje kuwa hizo hela alizodeposit Fei ni kwa ajili ya kuvunja mkataba? πππ acha kuchekesha
Hivi unajielewa kweli?Ulianza na mazungumzo, umehamia kwenye notice. Yanga walijuaje kuwa hizo hela alizodeposit Fei ni kwa ajili ya kuvunja mkataba? πππ acha kuchekesha
Mkuu kuna barua nyingine tofauti na Ile iloandikwa ya tarehe 22 ?fei hajarudisha tu fedha .kabla ya kurudisha aliwaandikia barua ya kuvunja mkataba na yanga wanakiri barua waliipokea ! yanga wanataka wakae na fei kivipi ?barua ndio njia sahihi walitaka aende jangwani kuwaambia navunja mkataba? wakimpopoa na mawe itakuwaje
Hadi sasa ndivyo ilivyo kazini, unatoa notisi, unaweka mzigo unasepa. Hakuna haja ya mazungumzo. Ukiona mwajiriwa anafanya mazungumzo ujue huyo anatishia tu kuondoka.... ingekua hivo si kila mtu angesepa tu kazini akiona matakwa yake hayatimizwi.