Feitoto yupo sawa kisheria

Nafasi haimuhusu fei hata kidogo, fei amengalia baada ya nguvu za kucheza kuisha itakuwaje mustakabali wa maisha yake,
Sawa kila mtu analielewa hilo lakini hata kulipa mshahara mkubwa na maslahi makubwa hakukupi uhakika kwamba badae utaishi maisha poa bali ni akili yako ndo itakufikisha huko.
 
Sawa kila mtu analielewa hilo lakini hata kulipa mshahara mkubwa na maslahi makubwa hakukupi uhakika kwamba badae utaishi maisha poa bali ni akili yako ndo itakufikisha huko.
Sawa, lakini fei ameona kwenye 16M anaweza kusave ha 10m akatumia 6m sasa kwenye 4m atasave ngapi? Mpira wenyewe huu ukifikisha miaka 35 ndio basi tena
 
Kama Ingekua rahisi hivyo, wachezaji wote wazuri toka Yanga wangekua wanaenda Simba au wa Simba kwenda Yanga!

Si unalipa tu Signing fee hata Millions 300 unamchukua Mayele, unalipa tu Signing fee unamchukua Bangala! Hata kama walikua na mkataba wa miaka 3.
 
Ni hadi mchezaji akubali Sasa, Sasa hao uliowatolea mfano mishahara yao ni mikubwa kwani unazani fei angekuwa anapokea 15m angehangaika kuvunja mkataba?
 
Sawa, lakini fei ameona kwenye 16M anaweza kusave ha 10m akatumia 6m sasa kwenye 4m atasave ngapi? Mpira wenyewe huu ukifikisha miaka 35 ndio basi tena
Sawa mkuu afanye tu analoona yeye
 
Bado mkuu unaongea nadharia hiyo notice alitoa lini?
Kwa maelezo ya yanga mchezaji hana mamlaka ya kuvunja mkataba kama timu haijaridhia, sijajua kwanini waliweka kipengele cha signing fee na 3month salary kurejeshwa, au yanga wanataka waongee nini hasa?
 
Azam wafuate utaratibu siyo shortcut, period

Wao si wana hela, waje mezani tuyajenge wamchukue kijana, baaasi ni hilo tu

Sisi Yanga tunasema No Fei No Problem, njooni tu mezani tumalizane
 
Kwa maelezo ya yanga mchezaji hana mamlaka ya kuvunja mkataba kama timu haijaridhia, sijajua kwanini waliweka kipengele cha signing fee na 3month salary kurejeshwa, au yanga wanataka waongee nini hasa?
Mkuu hicho kipande ulichokiona kwa chini pia kuna sehemu inamlazamu mchezaji akitaka kufanya hivo ni lazima atoe notice ya miezi 6 sasa watu tumebase kwenye kulipa mil 112 tu.
Nilimsikia shafii dauda akisema hivo kua mchezaji pia atalazimika kutoa notice ya miezi 6 kwa yeye alivoona kwenye mkataba na hapo ndo panapomfunga Fei
 
Kipengele 18 (1,2) kinasema kununua mkataba ni kias gani??

Mbona mnakwepa hapa!!..

Kuvunja mkataba unajua player haruhusiwi kufanya hivi katikati ya msimu?? Hasa kama hakuna hiyo just cause!!..

Je Fei slitoa Notice ya miez 6 kama mkataba unavyomtaka??
 
Ni hadi mchezaji akubali Sasa, Sasa hao uliowatolea mfano mishahara yao ni mikubwa kwani unazani fei angekuwa anapokea 15m angehangaika kuvunja mkataba?
Hakuna mchezaji ambaye hataki kupata pesa, ukiona team inamtaka mchezaji mwenye mkataba means ipo tayari kumlipa zaidi ya kule alipokua, kwani hujawahi kusikia Team zikifungua Mashauri kulalamika team nyingine kuongea na mchezaji wao ingali akiwa na mkataba?

Team zinaweza kufungua majadiliano na mchezaji akibakisha miezi 6 ya mkataba wake.

Ndo nasema ingekua rahisi hivyo team zote kubwa zingekua zinavunja tu mikataba!

Mf. Mchezaji kama Mmakonde yupo Simba kwa mshahara wa 10 millions, Signing fee ya 200 millions, Al ahly wanaenda Simba kuulizia bei ya Mmakonde wanaambiwa anauzwa kwa 600 millions, ya nini walipe 600 millions kumbe wanaweza kumshawishi mchezaji avunje Mkataba kwa 300 millions na ahadi ya mshahara wa 50 millions ambayo hakuna mchezaji Bongo atakataa!

Ndo nasema ingekua rahisi hivyo, tusingesikia Club kubwa zikifata taratibu kununua Wachezaji, zingekua tu zinavunja mikataba kama ilivyo kwa Feisal.

Fifa sio Wajinga, wapo 50% kwa club na kwa Player.

Kuna ukweli ambao Yanga wanausema, na baadhi ya watu hawataki kuusikia.
 
Unavunja mkataba kama kuna mambo yamekiukwa

Tutajua city ambavyo vimekiukwa
 
Huo utaratibu kwenye ishu za Ulinzi au serikalini, ila kwa sehemu zinazojielewa lazima utoe notice si chini ya Mwezi.

Unaonekana ww hujaajiriwa.
Kutoa notice ya mwezi au miezi mitatu kulingana na position uliyopo ni ili usiwaachie/kulipa mshahara wako wa mwezi husika kulingana na siku ya notice.

Ila notice ya 24 hours lazima uache/ulipe mshahara wa mwezi kamili.

Baada ya hapo utaamua uelekee wapi uajiriwe upya na mwajiri huyo au utafute mwajiri mwingine.
 
Kaka, Dortmond walikuwa wameamua kumuuza Halaand.Kama wangesema hauzwi wasingebanwana sheria yoyote.
 

Kuna haja ya kuelewa pia kuwa Yanga waliweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa EXTRAORDINARY STYLE, ambayo ndo watu wamepenya hapo. Walijiwekea panga shingoni wenyewe. Soma kipengele chao namba 14 (14.7)

Hapo ndo wanasheria wa Yanga wanapobebeshwa zigo hili.
 
Hicho kipengele sio matakwa ya Yanga, ni Matakwa ya Fifa...!

Ila ikitokea hivyo Team na Mchezaji wanakaa Mezani.

Azam wamefanya Uhuni, kuongea na mchezaji mwenye mkataba bila kufata taratibu.

Ni kosa kwa Sheria za fifa na tff kwa team kuongea na mchezaji mwingine angali ana mkataba na team yake, na Yanga wakikomaa Feisal hatacheza mpira mpaka 2024 otherwise Azam akubari kukaa Mezani na Yanga.
 
Hakuna ushahidi kuwa Azam waliongea na mchezaji kabla hajavunja mkataba.

Alieandika barua ni mchezaji na aliyedeposit hela ni mchezaji. FIFA hawajasema seal ya extraordinary kuvunja mkataba ulipe 100,000,000/= tsh na mshahara wa miezi mitatu ni Yanga waliweka bila kuangalia athari kwenye thamani ya mchezaji.
 
Kipengele 14.7 kinaelekeza kutimiza 2.3 na hakijasema mkae mezani.

Hakuna ushahidi wowote kuwa Azam waliongea na mchezaji kabla ya yeye kuuvunja mkataba. Labda kama upo uulete.
 

Narudia tena, fifa sio Wajinga Mkuu, mambo hayo yametokea sana hapo nyuma ndo maana fifa ikaweka kipengele cha kuvunja Mkataba kwa pande zote mbili.

Na kwa Mchezaji anaruhusiwa kuvunja Mkataba na team ikiwa mambo 3 yametokea.

- Hajalipwa mishahara ya miezi mitatu.

- Hajacheza Idadi ya mechi zaidi ya 10.

- Team kushindwa kutekeleza matakwa ya Mkataba.

Sasa nambie, ni kipi Yanga hajafanya!?
Ingekua ni rahisi tu kuvunja Mkataba kienyeji hivyo, Team zenye pesa zingewanyanyasa wengine, ndo maana fifa ikaweka taratibu tena ziko wazi.
 
Kipengele 14.7 kinaelekeza kutimiza 2.3 na hakijasema mkae mezani.

Hakuna ushahidi wowote kuwa Azam waliongea na mchezaji kabla ya yeye kuuvunja mkataba. Labda kama upo uulete.
Narudia tena, fifa sio Wajinga Mkuu, mambo hayo yametokea sana hapo nyuma ndo maana fifa ikaweka kipengele cha kuvunja Mkataba kwa pande zote mbili.

Na kwa Mchezaji anaruhusiwa kuvunja Mkataba na team ikiwa mambo 3 yametokea.

- Hajalipwa mishahara ya miezi mitatu.

- Hajacheza Idadi ya mechi zaidi ya 10.

- Team kushindwa kutekeleza matakwa ya Mkataba.

Sasa nambie, ni kipi Yanga hajafanya!?
Ingekua ni rahisi tu kuvunja Mkataba kienyeji hivyo, Team zenye pesa zingewanyanyasa wengine, ndo maana fifa ikaweka taratibu tena ziko wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…