Felician Barongo wa Mzumbe University

Felician Barongo wa Mzumbe University

Ah wewe utakuwa walewale..Birds of same flock...Sasa ivi nachanga ela ya college ya kabinti kangu, nakiwekea mikakati kakasome mbali kabisa huko na mafisimaji kaa nyinyi..hamkatongozi ng'o!


Kama wewe ni mmoja wetu (great thinker) utanielewa kama sio hutoelewa milele.

Barongo hafundishi somo moja pekee kwa wanaochukua masters pale, hivyo basi uwezekano wa kusema anafelisha inakuwa na nafasi FINYU.

Hebu fikiria Human resources ina waalimu watatu barongo akiwa na asilimia 33% ya wewe kufaulu, hapo anakuwa na uwezo gani wa kukufelisha?

Pili chuo cha Dar cha Mzumbe kwangu naona kama ni biashara maana kina wanafunzi wengi saaaana kiasi kuwa hamjuani ndani ya kozi moja, Yaani kama ni MBA kuna wanaoingia asubuhi wanaoingia mchana na wanaoingia jioni. Jamani kwa hapo Barongo atakujuaje hata JINA????

Hebu acheni kufikiria shallow. Hao wanawake wenu hawana akili na wanajipeleka wenyewe. Waliwe tu maana ni wajinga.

Degree za chupi zipo vyuo vingi sana Tanzania. Hili la kumlaumu Barongo sikubaliani nalo.
 
Kama wewe ni mmoja wetu (great thinker) utanielewa kama sio hutoelewa milele.
Great-thinker is a political motto, a mere self-claim which is not supported within any proven premises. Ok endelea/
Barongo hafundishi somo moja pekee kwa wanaochukua masters pale, hivyo basi uwezekano wa kusema anafelisha inakuwa na nafasi FINYU.

Hata kama ni finyu, nafasi IPO au HAIPO??
Hebu fikiria Human resources ina waalimu watatu barongo akiwa na asilimia 33% ya wewe kufaulu, hapo anakuwa na uwezo gani wa kukufelisha?
Enzi zile tunasoma akina sie, ku-clear yaani kuipata above 40(C) ilikuwa ni manati kwelikweli, seuze kuikosa hiyo 33%. Hivi we wa wapi?
Pili chuo cha Dar cha Mzumbe kwangu naona kama ni biashara maana kina wanafunzi wengi saaaana kiasi kuwa hamjuani ndani ya kozi moja, Yaani kama ni MBA kuna wanaoingia asubuhi wanaoingia mchana na wanaoingia jioni. Jamani kwa hapo Barongo atakujuaje hata JINA????

Duh, we ni mwanaume au mwanamke?? Kama ni mwanamke siezi kukulaumu. Wanaume tuna moyo wa simba mwindaji mwenye njaa kali na moyo wa kutafuta, tupo radhi kumfukuzia swala at any cost, na simba mwindaji haachi kitoweo akiacha ujue kwamba mbinu zote zimeshindikana au kitoweo ni kimeo..

Hebu acheni kufikiria shallow. Hao wanawake wenu hawana akili na wanajipeleka wenyewe. Waliwe tu maana ni wajinga.
.

Typical great stinking + Oxymoron-ism

Degree za chupi zipo vyuo vingi sana Tanzania. Hili la kumlaumu Barongo sikubaliani nalo.

Labda niulize tu vile unavoona. Je, unavoona Degree za chupi ni tatizo au sio tatizo?? Maana nakuona unakubali na kukataa at the same time.
 
Mzumbe chuo cha magumashi sana,vilaza wengi sana wanakimbilia huko ili wapate degree za bwelele,matokeo yake walimu wanatake advantage kwa vilaza wasiojiamini.

Kama kweli mnajiamini kuwa mnaweza kusoma na kufaulu bila magumashi kwanini umuhofie mwalimu mwenye tabia hiyo?


Mmmh kusema Mzumbe chuo cha magumashi nakataa kama tunaweza ku-compete na hao waliomaliza vyuo vingine basi sio vilaza sie tuliosoma pale. Huku kwenye soko la ajira halitegemei wewe umemaliza wapi, huku inategemea wewe uta-deliver?acha hizooooooooooo. Mtu anaweza hata soma Havard na bado akashindwa ku-deliver. Jamani hapo Mzumbe walimu wanafundisha swala la kuelewa na kufaulu ni la mwanafunzi mwenyewe.
 
Kweli nin hatari hali hii ipo kwenye idara zote na kila sehemu, vyuo UDSM, UDOM, SUA and Mzumbe hivyo kuwa na hali kama hii kwa madada ni kikwazo kikubwa sana
 
Kapuchi,
Ebu lione hili. Darasa hilo lina wanawake tu hakuna wanaume? Je, kama wanaume wapo wanashindwa test ni wanawake? vipi wanaume wanaoshindwa test je, nao wanafukuzwa shule? Ninavyoona, hapa kuna mchanganyiko wa mambo mengi. Kwanza, kama test ni ya darasa zima (wanaume na wanawake) iweje, washindwe wanawake tu? nini kinawatokea wanaume walioshindwa au wao hawashindwi hiyo test? Kama wanaume wanashinda hiyo test basi Dr. Barongo yupo sahihi kuwawajibisha walioshindwa test yake na mambo ya kuombana uroda yasitumike kama 'defense mechanism? Nawashauri wale wanaoshindwa test ya jamaa wakati wengine wanaifaulu kwanza waongeze bidii wasome na waishinde. Dr. Barongo atawakosa hawezi kuwakamata, sasa kama hausomi na unasubiri ukibabwa useme umeombwa uroda basi hayo ni majungu.

Niungane na Caroline Danzi, kwamba mida ya kulialia na kulalamam imepitwa na wakati. Simu zetu siu hizi zinarekodi sauti, mtegee simu atongoze then utakuwa na ushahidi. Au kubaliane naye nendeni guest house anayoipenda huku ukiwa umewasuka wakokota mikokoteni ili wawakute mle quest house ili badala ya kushughulikiwa wewe wamshughulikie huyo Dr. Barongo, atakoma hatarudia, Acha kulialia amka ujipiganie.
Tulione hilo kutongozwa kwa hila kupo lakini visingizio vipungue pale wanawake wanaposhindwa test kwa uzembe then wanatuambia si unajua nilimnyima......

Wanaume wapo hila inavyoonyesha huwa anawafanyia makusudi tu wanawake hasa wale ambao anakuwa anataka kuwafanyia huo ufisadi.
 
Back
Top Bottom