wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
unakumbuka madini 2 trucks toka rwanda yalikwama for 3 months uganda ,sababu ni hiyo (tracebility)
Sure zilikwama lkn ni kutokana na mahusiano mabovu yaliyoko kwa sasa kati ya Kampala na Kigali
Sent from my iPhone using JamiiForums