Gakato u have made ma da with your narrative attributes of the rationale behind women cirmcission. Unfortunately jambo hili lilibakwa huku watu ambao wangeweza kulitetea wakichekelea ambao ni wasomi.
Kwa taarifa tu ni kwamba 70% ya wazungu wa kike wametahiriwa.
Mkuu Karikenye, utakuwa umeichanganya FC na Deflowering!, wazungu wengi haswa wa nchi za Scandnavia, wanafanyiwa "deflowering!" (kuondolewa bikra), hospitali na sio kusubiri kufanyiwa na ile kitu!. Hii imapelekea sex kwenye nchi hizo is not a big deal!. Nenda Stockholm, adult magazine, zinauzwa openly mchana kweupe na kwenye supper markets.Kwa taarifa tu ni kwamba 70% ya wazungu wa kike wametahiriwa.
Mkuu Ntama, hilo la tabia, nakubaliana na wewe, ndio maana wanawake wa ukanda wa pwani wakiwemo Wazaramo, wanachezwa ngoma kufunzwa ma utaalamu!, akishailewa, na kumuonyesha mumewe ubingwa, anakosa raha kama ubingwa wake utajulikana na mtu mmoja tuu!, sasa wengine watamjuaje kuwa yeye ni bingwa!, ili kujenga heshima kwa mumewe, aheshimiwe na majirani wote kuwa kaoa bingwa!, huyo mwanamke atafanya juu chini, mpaka awaonjeshe majirani wote, ili akipita, asifiwe, "yule sii mchezo!", na huku mumewe akisifiwa "kapata kweli!"
Baadhi ya makabila kama Wahaya, wao wanavutwa tangu wadogo, hivyo saa zote kinatekenya na wanataka wakati wote, na popote tena bila aibu yoyote!. Wachagga wamefunza hiyo ni dhambi hivyo kuwajengea "inhibitions!" kiasi kwamba kwa kuenjoy ni nadra kwa sababu wanajua wanafanya dhambi, na wengi hata wakiolewa hizo inhibitions zinaendelea, japo mbege inasaidia kidogo kuzipunguza!. Mmasai kafanyiwa na kafunza hii ni kwa fulani tuu and only fulani na rika lake!. Sijawahi kukutana na pros wa Kimasai!, hata A Town, wanaojiuza wote ni makabila mengine, Wamasaini kwao No!.
Wakati FC imesaidia wanawake wa Kimasai kuwa na very big self control, its vice versa kwa wanawake wa Kimbulu, Nyaturu, Rangi na Wagogo, wote hawa wanafanyiwa, ila ukigusa tuu!, twende!. Hii inatokana FC kufanywa tofauti tofauti kati ya kabila na kabila, ila pia mafunzo, mila, desturi na tamaduni za hao wanaofanyiwa FC, kwa sababu hata baadhi ya Wamasai wa kisasa, waliosoma, hawawafanyii watoto wao FC lakini bado wametulia!.
Kwa wale wanawake ambao hamjafanyiwa, msiwadhanie waliofanyiwa wana miss anything, kwa sababu "you can never miss what you never had!", by the time wanajigundua kuwa walifanyiwa, zile sensetion za clit, zinakuwa zimeshahamia ndani, hivyo usikute wana enjoy kuliko hata nyie ambao hamjafanyiwa!.
Pasco.
Mkuu Karikenye, utakuwa umeichanganya FC na Deflowering!, wazungu wengi haswa wa nchi za Scandnavia, wanafanyiwa "deflowering!" (kuondolewa bikra), hospitali na sio kusubiri kufanyiwa na ile kitu!. Hii imapelekea sex kwenye nchi hizo is not a big deal!. Nenda Stockholm, adult magazine, zinauzwa openly mchana kweupe na kwenye supper markets.
Nikiwa Sweden, niliishi nyumbani kwa Mtanzania fulani, mtu wa familia!, nyumba yake ilikuwa kubwa, nami niliishi guest wing!. Usiku wa saa 6, mke wa mwenyeji wangu alinigongea room kwangu kufungua, amevaa semi transparent night dress(kiukweli ni kama hajavaa nguo!, eti amekuja kuniuliza kama nimepata channels zozote za kuzifurahia kwenye TV zao. Kiukweli nilisearch mapema nikakuta channel nyingi ni za ki Sweedish!, nikaweka miziki nikajilalia, hivyo nilipogongewa, niliamka, ndipo nikamwambia sikuona channel nzuri!.
Akaichukua remote na kunionyeshea channels za English kisha akaniambia huku nu ulaya, ukitaka kuangalia hata mambo haya, huku unaangalia tuu hakuna siri!, aka switch adult stuff!. Du!, nikashangaa adult free to air!, ndipo akaniambia hivyo ni cable, ina child lock hivyo watoto hawaoni, ila baada ya saa 6:00 usiku, inakuwa free to air mpaka saa 10 alfajiri!. Nikauliza vipi kuhusu watoto?, nikajibiwa watoto kule ni under 14!, ni jukumu la mzazi kuhakikisha by saa 6 usiku, under 14 wote wamelala, from 15 wao ruksa kuangalia!. Wazazitalks to their kids about sex, msichana akitimiza miaka 15, wazazi wake wanampeleka hospitali kumuondoa bikra ili asijeumizwa!, na anafunzwa A-Z about sex ikiwemo kuruhusiwa kumleta boyfriend nyumbani!.
Sio siri nilijihisi kuogopa, mama mke wa mtu, room kwangu saa 6 usik ameniwekea blue channel!, akaniambia usiwe na wasiwasi, siku mkuu wa nchi (by then Mkapa alikuwa ziara Sweden) akiwa hapa, Mzee huwa halali kabisa nyumbani!, huja asubuhi kubadili tuu nguo!. Nikimuangalia, huku naangalia TV, ukijumlisha na ile dress code!, Ibilisi alitaka kunipanda!, thank God roho wa Mungu, akaniingia na kukumbuka fadhila!, aliyenileta pale ni mumewe!, kula bure, kulala bure!, mbona mkewe anataka kunitia majaribuni?!. Na sio siri, sisi wengine dhaifu!. Nikapiga konde na kumwambia asante kunionyesha chaneli, na kumwish good night!, akaondoka huku kama amechukia fulani!. Na tangu siku ile, ukarimu na hospitality zilikoma!.
Tena kwa kabila la huyo mama, na umri wake!, itakuwa ni miongoni mwa waliofanyiwa FC, hivyo mume hayuko home usiku mmoja tuu!, alitaka!, how about hao wafungaji wanaikuwa kwenye malisho miezi 6 hadi mwaka?!.
Pasco.
Kwa kuongezea tu ni kuwa clitoris ni very sensitive na kuikata maumivu yakeni makubwa sana. Lakini pia kwa kuikata clitoris unapunguza ule uwezo wa kutanuka wakati wa kujifungua kwa sababu kovu lililobaki halitanuki. Mwanamke anaishia kuvuja damu nyingi na huenda ikasababisha kifo.
Labda nikuulize ndugu Achahasira, kuna faida gani ya kumtahiri mwanamke? Kwa sababu faida za kumtahiri mwanaume zinajulikana.
Ashiki wanazo swala ni pleasure kwao inapungua tena sana tu,kama hujawahi tembea na wanawake waliofanyiwa hiyo kitu utagundua utofauti wao.Swala sio kutembea nae tu ni lazima pia awe ni mpenzi wako wa muda mrefu na mmezoeana ndio atakueleza ana lack kitu gani otherwise wengi inabaki kuwa ni siri yao.Hii term ulioitumia ya genital mutilation ina negative connotation ikimaanisha "uharibifu", kuna watu wamefanya tafiti kuhusu maada ya hii, na TATIZO kubwa waliokuwa wanajaribu kuliaddress ni kwanini pamoja na kampeni zote kuhusu ubaya wa "female circumcision" (wataalamu katika sociolijia na anthrolopoligia wanapenda kuita hivi) BADO JAMII NYINGI ZINAENDELEA na hii practice? baadhi zimekubaliana kwamba HII NI TAMADUNI ya jamii ambazo zinafanya na una umuhimu wake katika jamii hizo. Wanasema sio kweli kwamba unapomtahiri mwanamke unaharibu sehemu ya UKE, wao wanasema hii ni moja wapo ya kutengeneza UKE (hapa ina maana the whole system) kwasbb waliokuwa/wanaofanya hii kutahiri ni wataalamu na wanajua vizuri jinsi ya deal na delicate parts za uKE; kwahiyo kutahiri ni IDENTITY, BEAUTY, UKUBWA, na CITIZETRY (una kuwa mmoja wao katika jamii). SASA hawa walioanza kukataa kwamba ni kitu kibaya wanasema mojamoja wamekifananisha hiki kitu na UNYAMA DHIDI YA WANAWAKE; na imetokea Magharibi ambao hii haijawahi kuwa TAMADUNI YAO, kwahiyo wanaona moja kwa moja kama kumharibu mwanamke na BAHATI MBAYA kabisa hii imekutana na FEMINISM, mtazamo wa kuona mwanamke anaweza kama mwanamme na kwa muda mrefu amekuwa akikandamizwa na mfumo dume; na hili la female circumsion limekuwa cited kama miongoni mwa vitu vibaya mwanamke anafanyia ETI ILI KUUA HASHIKI asipende ngono na afanyekazi kwa ajili ya mwanaume ambae muda mrefu anakuwa kwenye pombe na matembezi. Hawa hawaendi mbali kuelezea mazuri ya hiki kitendo wao wanashikilia MILA POTOFU,MILA POTOFU. Labda swali dogo kwenu je ni kweli wanawake waliotahiria hawana hashiki?; mabibi zetu walikuwa hawana hashiki? Je walikufa sana kama tunavyotaka kuaminishwa na watu wa magharibi na wapokea posho wa tanzania? Try to think aloud please!!
Ashiki wanazo swala ni pleasure kwao inapungua tena sana tu,kama hujawahi tembea na wanawake waliofanyiwa hiyo kitu utagundua utofauti wao.Swala sio kutembea nae tu ni lazima pia awe ni mpenzi wako wa muda mrefu na mmezoeana ndio atakueleza ana lack kitu gani otherwise wengi inabaki kuwa ni siri yao.
Asante sana, ila kwa nijuavyo mimi huyo anakuwa hajafanyia vizuri; wale wazeee ni watalamu wazuri sana na sayansi yao ni ya uhakika kwani wanafanya vila kuathiri mfumo wa mwanamke kabisa...
Pasco, asante kwa majibu mazuri (najisikia kisiasa kidogo aagh). Pamoja na majibu yako mazuri still i dont agree with you on many items.
Kwanza napata kichaa nikiwaza cliroris ilivyo sensitive halafu inakamatwa na kuchanjwa (hata kwenye game tu haifai kuanzia kwa clit kabla mhemko haujafika level flani. It is just too sensitive jamani!).
Lakini pia unataka tuendelee kucontrok sexual drive ya mwanamke asitamani sex ili iweje? Na nani atacontrol ya hao wanaume? Huu ni uonevu. Kila mtu na afanye maamuzi juu ya matumizi ya mwili wake mwenyewe.
Ashakum si matusi rafiki zangu wa kanda ya ziwa. Cousins wangu wangu wawili wameolewa musoma. Huko walikoolewa baba wake wao wameoa hadi wake zao ni wadogo kwa wali wao. Baba mkwe wa dadangu aliugua gono ikawa aibu tele. Nataka kusema hao waliotahiriwa sio kweli kuwa wametulia. Kama ni utafiti nitaanza na hypoThesis kuwa wanawake waliotahiriwa hawatulii kwa kutafuta kuridhishwa. Vaginal orgasm ni function ya stamina na tukubaliane kimsingi kuwa kwa wanaume wa sasa hilo ni janga la kitaifa.
Im all against unnecessary torture and pain.
Nilipita wilaya mojawapo katika mkoa wa Mara, siwezi kusema kwamba nilifanya utafiti la hasha maana mtanidai report ila kiukweli haya mambo yanafanywa tena wenyewe wapo proud na kuna wengine wanaita wanatahiri ki-CCM (huu ni msemo wao yaani kisasa kama vile msemo wa digitali ulivyoshika hatamu wanakata kiduchu) na kila mwaka unaogawanyika kwa 2 lazima wafanye alafu kama serikali katika maeneo hayo imeharalisha vile maana kila December ya mwaka unaogawanyika kwa mbili ni shamrashamra tu tena wanakatiza live huku wahusika wakiwa wamepakwa sijui ni majivu usoni huku kila mmoja akiwa ameshika mwamvuli
Swali hapa la kujiuliza kwanini haya matatizo ya FGM yameonekana hivi karibuni wakati miaka mingi iliyopita watu walikuwa wanafanya na bado walikuwa wanadumu katika maisha yao ya ndoa na mbaya zaidi wanawake haohao ndio wanaowapeleka watoto wao huko maana kama wangekuwa wame-miss kitu lazima wasingepeleka maana ikumbukwe kabla ya kukatwa kuna ambao tayari walisha practice sex hivyo uwezo wa ku-compare na ku-contrast wanao yaani life before FGM na life after FGM maana ni hawa hawa ndio wanaowanyanyapaa wanawake wenzao ambao hawajafanya hii kitu FGM kwa kuwaita jina moja yaani WASAGANE (kama kuwanyanyapaa flani). HAPA NIMEJIULIZA SANA NA MARA NYINGI NIMEKUWA KATIKA PITAPITA NIKIWA NAWAPINGA HUKU NIKIWA NATAFAKARI NILICHOANDIKA KWENYE HII PARAGRAPH MAANA SI SIRI KAMA UKIENDA HIYO MIEZI NILIYOSEMA NA MNAONGEA NAO KAMA KAWAIDA TU)
Hii kitu kwa sasa naweza kusema imepitwa na wakati kwa kigezo kwamba sasa hivi watz tunaingiliana sana hivyo mtu kutoka kanda ya kasikazini anaoa kusini kwenye mila tofauti the same na kanda zingine hivyo hivyo, kwa mtaji huu inakuwa ni muhari kwa mtu ambae amefanya FGM ku-cope na mtu alietoka katika jamii ambayo haina haya mambo ya FGM. Mila hii iliwafaa wao kwa kipindi kile kwa sasa inakuwa ngumu kidogo kutokana na muingiliano wa makabila mbalimbali
Mimi kama mwanamke sioni uchafu wowowte unaotokana na kuwepokwa clitoris. Umesema vyema, tuongelee kizazi hiki chetu cha sasa.
Kumtahiri mwanamke ilikuwa innovationya kupunguza ashki tu kitu ambacho ni uon3vu mkubwa. Nimewahi kukutana na shuhuda kuwa mwanamke alietahiriwa hata iweje hafiki kileleni. Effect ya kutahiri mwanamke ni kama kumtahiri mwanaume kwa kukata ama kufyeka kichwa cha uume ( wakati wa operesheni ya kumbadilisha mwanaume kuwa mwanamke and vice versa, ngozi ya uume ama clitoris inatumika interchangeably kutengeneza kiungo hichi muhimu). Haiwezi ikawa kitu chema hata kidogo!
Hivi kutoa Kile kiharage inapunguzaje ashiki.Maana makabila ambayo kiharage kimetolewa wanasifika kwa kupenda gegedo balaa yaani wanatamani kugegedwa daily? Kama ni mkeo,mume ukisafiri wiki tu ukirudi kashenda kugegedwa kitaa tena Na Lofa yeyote Yule.sasa hapa shida Huwa napenda nini? Genye zipo juu au maana kidogo inachanganyaMimi kama mwanamke sioni uchafu wowowte unaotokana na kuwepokwa clitoris. Umesema vyema, tuongelee kizazi hiki chetu cha sasa.
Kumtahiri mwanamke ilikuwa innovationya kupunguza ashki tu kitu ambacho ni uon3vu mkubwa. Nimewahi kukutana na shuhuda kuwa mwanamke alietahiriwa hata iweje hafiki kileleni. Effect ya kutahiri mwanamke ni kama kumtahiri mwanaume kwa kukata ama kufyeka kichwa cha uume ( wakati wa operesheni ya kumbadilisha mwanaume kuwa mwanamke and vice versa, ngozi ya uume ama clitoris inatumika interchangeably kutengeneza kiungo hichi muhimu). Haiwezi ikawa kitu chema hata kidogo!
Kuhusu kutulia mara Mia ukaoa mwenye kisimi,kwa Hawa wasiokuwa navyo ni janga.King'asti, Pasco ni mtu wa kanda ya ziwa, hivyo ameathiriwa na mila na desturi za kwao.
Sio kweli wanawake walifanyiwa tohara wanaweza kuhimili sexual desire!!!! sio kweli hata kidogo. Labda tufanye tafti, wanawake wa kanda ya ziwa, hawafumaniwi? Wananwake wa kanda ya ziwa, hawatoki nje ya ndo zao? bila shaka masuala hayo ni commoni kwa jamii nyingi.
kutulia kwa mwanamke, ni yeye mwenyewe maadili yake lakini pia na hofu ya Mungu basi, lakini haiwezi kuathiriwa kwa kuwa na critol au kutokuwa nayo.
Na ili tuyajibu haya maswali, tuulizane, Tanzania, ni wanawake wa mkoa gani ni vicheche sana, vicheche kidogo na sio vicheche kabisa. Kwa kuwa tunajua wanawake wa mkoa fulani wana FGM, na wengine hawana, tutayajibu tu maswala haya.