KERO Feni na AC katika Majengo mengi ya Chuo cha DIT - Dar ikiwemo Maabara hazifanyi kazi

KERO Feni na AC katika Majengo mengi ya Chuo cha DIT - Dar ikiwemo Maabara hazifanyi kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Madarasa mengi na Maabara za Chuo cha DIT yana changamoto ambazo zinafanya tunashindwa kusoma tukiwa na utulivu, nazo ni; AC na feni nyingi hazifanyi kazi.

Mfano mimi ninasoma ETE, Jengo la mawasiliano kuna Maabara 4, zote hakuna AC wala feni tunapoingia kunakuwa na suffocation sana na joto kali sana, huu ni mwaka wa pili nimezikuta hivyo na hakuna jitihada zozote.

Upande wa majengo ya Block B na C Pia, mamlaka zilifanyie kazi hili tafadhali maana tunakuwa kama wafungwa na ada tunalipa, yaani hiki ni chuo cha Teknolojia (Dar es Salaam Institute of Technology - DIT) lakini tunakuwa na kero kama hizi ndogondogo, ni aibu kwetu.
photo_2025-02-03_14-41-11.jpg

photo_2025-02-03_14-40-30.jpg

photo_2025-02-03_14-41-12.jpg

Jitihada za kuutafuta Uongozi wa DIT zinaendelea kusikia upande wao wanazunguziaje kuhusu madai hayo ya Mwanachama wa JamiiForums.com
 
Ni jambo la aibu na kukodharirisha chuo kikubwa Africa kama DIT, maana usinambie hapo DIT hakuna kozi ambazo zinazalisha watalaamu bobevu hapo ni suala la viongozi wenu wa chuo kuomba ruhusa na pesa kidogo ili kozi mojawapo hasa wale electrical engineering wapewe kazi ya kuzirekebisha na sio kuja kulia lia hapa mtandaoni kwa issue ndogo kama hiyo.
 
Mimi sio mpumbavu ,you’re not here thats you know nothing, so shut up your mouth,hiki sio chuo cha kwanza kusoma mimi and do not think that mimi ni kid ,uongozi wa chuo wa zama hizi sio wa zama zile,Filho da Puta
 
Mnasomea technology, lecturers wenu wanashindwa kuwapa hizo AC na feni mtengeneze wenyewe?🤔
Kuna vitengo vya ufundi, lecturers hawa husika na masuala ya miundombinu.

Hata hivyo hakuna mikakati thabiti ya kukabiliana na hili kwa kutumia wanafunzi maana factory teaching tunaenda nje.
 
Mimi sio mpumbavu ,you’re not here thats you know nothing, so shut up your mouth,hiki sio chuo cha kwanza kusoma mimi and do not think that mimi ni kid ,uongozi wa chuo wa zama hizi sio wa zama zile,Filho da Puta
Unazidi kuonesha upumbavu wako hapa ulivoona hiyo changamoto ulijaribu hata kuwasilisha kwa serikali yako ya wanafunzi aibu naona mimi
 
Back
Top Bottom